Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tafadhali wadau ninaomba kupata elimu kuhusu aina ya Incubator inayotumia umeme iliyo nzuri maana nimeanza kutotolesha mayai kwa kutumia made made inayotumia mafuta ya taa lkn kuna changamoto ya...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Ndugu zangu hodi humu ndani, Ninauza mahindi yapo Morogoro nauza kilo 750/= Sina longolongo Nina gunia 20 za 120kg. Karibuni wateja.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tecno C5 Inauzwa na ni nzima 0768368560 na 0656119263 Dar es salam
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Changamkia fursa nyumba mbili mpya za kisasa ziuzwa chanika mjini DSM ziko sehemu moja.But msauzi vyumba vya kulala 5 vyoo vya ndani cha public na self container,dinning room,jiko na valanda 2...
1 Reactions
44 Replies
11K Views
Y
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mm ni mkazi wa Dar nahitaji viti vya kukodisha kwa ajili ya sherehe ndogo tu viwe vya chuma
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tunatoa huduma za kudesign Logo Product labels Posters and brochures Business card Calendar Billboard ID card Music covers...nk Huduma zetu ni nafuu sana Contacts: Call: 0768829357 Whatsapp...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Waungwana, wapi naweza kupata RAM ya 8 GB (4 GB X 2) kwa MacBook Pro 17-inch mid-2010? Nimefanya research, nahitaji ya OWC (PC8500 DDR3). Ni duka gani kwenye mji huu wa Makonda naweza kupata hii...
0 Reactions
0 Replies
427 Views
Nauza madera mazur yenye mitandio mikubwa. Jumla ni sh 12000 reja reja ni sh 13000 Napatikana Ilala Dar. Nicheki 0678361222 whatsapp.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Frem inapangishwa iko mabibo mwisho karibu na tanga fresh bei ni 100,000 kwa mwezi kwa anayehitaji tuwasiliane 0713 114394
0 Reactions
2 Replies
942 Views
Pata senene wanene wazuri kutoka bukoba. Tupo Dar es salaam, tucheki kwa namba hizi 0656005004'0759958244
2 Reactions
14 Replies
4K Views
Nimekata mwembe nataka kujenga, kwa anayeyahitaji, nimeshayachana vipande. Yapo Pugu kigogo fresh 0684223374
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu. Viwanja vinauzwa Bagamoyo jirani na Matimbwa Secondary, Kijiji cha Sunguvun, Mtaa wa Bomu.Dakika arobaini na tano kwa daladala toka njia kuu iendayo Dar Es Salaam. Ni Hekari tano na...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kampuni ya clearing and forwarding ya Real Aviation, clearing and forwarding services inatafuta patner wa kibiashara kwa malipo ya commission kampuni ina ofisi JKN terminal one na ipo mbioni...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Salaam zenu wakuu, kichwa cha habari chazieleza naomba anaejua hizi saa wapi zinapouzwa anijulishe. Naomba kuwasilisha
1 Reactions
0 Replies
668 Views
Habari ,kijana anatafuta mtu kubadilishana nae kituo cha kazi fani ya MTEKNOLOGIA MSAIDIZI(MAABARA) Kutoka singida Kwenda Tanga Kwa mtu alietayal kutokea tanga kuja singida tuwasiliane PM
0 Reactions
1 Replies
756 Views
Hello Ladies and Gentlemen kuna chumba kwa ajili ya biashara kinapangishwa MKABALA NA IDARA YA MAJI Arusha kama una mtu unayemjua please let's me know please
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kadiri siku zinavyozidi kwenda, ndivyo teknolojia inavyokua, na sasa wengi wetu tunanunua vitu online...SASA Kwa mini uendelee kuibiwa na matapeli pale unapofanya manunuzi??kutofaham bei...
2 Reactions
0 Replies
592 Views
Back
Top Bottom