Naomba kujua kuhusu Kilindi Tanga

Benzoic

JF-Expert Member
Jan 16, 2012
421
149
Wadau wa JF nimepata dili Kilindi Tanga lakini sijui mazingira ya huko yakoje. Mwenye nazo anijuze
NATANGULIZA SHUKRANI
 
dili ni la muda mfupi au muda mrefu? Kupo poa tu ni kama zilivo wilaya changa zingine.
 
Tanzania hii hakuna sehemu mbaya kwa kuwa huduma zote muhimu zipo kila mahali. Nenda tu.
 
Mkuu kilindi kuko poa lkn bei ya chakula ipo juu sana pale wilayani Songe. Usafiri wa dar to kilindi upo ni Tsh.17,000/= maji ni ya kisima yana chumvi,umeme upo wilayani na miji iliyopo kando ya barabara itokayo Handeni to Songe, guest zipo nyingi hata za buku 2. Wenyeji ni Wazigua, Wanguu, Wamasai na Wakaguru. Uchawi hasa "tego" ni kitu cha kawaida. Kuna ardhi nzuri sana kwa kilimo, madini ya aina mbalimbali na misitu ya miti ya asili. Vipi dili lenyewe ni hapo wilayani songe au ni vijijini?
 
Back
Top Bottom