Kwa wakazi wa dar maeneo ya chang'ombe,keko,kilwa road na uwanja wa taifa na maeneo ya karibu na ukumbi wa sigara
Karibuni kuosha magari kwa bei ya promotion kwa mashine ndani nje na injini
Gari...
Wadau
Natafuta manufacturer / supplier wa wooden poles zile zinazotumiwaga na TANESCO kwa ajili ya project moja kubwa .Kama kuna mtu anahusika au anajua lolote naomba tuwasiliane ASAP kule PM
Wakuu wapi nitapata gold testing machine ya bei ndogo. Je hiyo mashine ipo na ni bei gani. Namaanisha portable ambayo naweza kuiweka hata kwenye begi. Nimejaribu kuangalia ALIBABA, naona kama zipo...
Wakuu habari, Toyota Ist cc not more than 1400 inahitajika. Iwe used ambayo IPO ktk hali nzuri. Ikiwa Dodoma/Moro/Dar itapendeza zaidi.
Nasubiri majibu!!!
Usijali Sana Kama unaitaji Spika na Upo Arusha nicheki kwa whatsapp upate picha na kufanya biashara 0787245182 kwa Bei ya punguzo ya sh 35000 toka 60000 location Usariver
Hello wanaJF,
Mimi kijana mpambanaji wa kitanzania, natafuta mentor wa kilimo cha matango.
Tafadhali Kama una hints zozote kuhusu kilimo hiki karibu tafadhali.
WELCOME TO MEADOWS PROMOTIONS.
we offer the following Activities proffessionaly:-
1.Email marketing
Whatsapp marketing
Social media marketing
-We have 170,000 subscribers who will see your...
Je una tatizo la wadudu warukao na watambaao?
Je mbu wanakusumbua sana?
Je una mchwa ambao wanasumbua?
Je mende wamekuzidia ,jikoni na vyooni?
Je una tatizo la panya?
Je eneo lako la kazi au...
WELCOME TO MEADOWS PROMOTIONS.
we offer the following Activities proffessionaly:-
1.Email marketing
Whatsapp marketing
Social media marketing
-We have 170,000 subscribers who will see your...
Simu imetumika one week tu haina michubuko.
Storage 8 gb, ram 1 gb
Inauzwa 100,000
Kama una nokia asha 210 au nokia X2 ile ya batani au nokia E72 utaongeza 50,000 nakuachia.
Napatikana pugu dsm...
Habari Wadau,
Natafuta Godown Dogo, Nataka kuweka mashine ya kusaga plastiki. Bajeti yangu ni Tsh 500,000 Kwa mwezi, Naweza lipa miezi sita, Maeneo ya Tegeta, Mwenge, Mbezi Beach, Tangi bovu...
Habari wana jukwaa pendwa kabisa Afrika Mashariki nina tatizo moja nahitaji msaada wenu kuna kaeneo kangu nimekakodisha sasa nahitaji kujenga ofisi.. Lakini ofisi hiyo itajengwa kwa mbao na siling...
Eneo SQM 575 linauzwa Kata ya Miburani, mtaa wa keko machungwa (lina nyumba), panafaa kwa makazi gari inafika mpaka mlangoni, document yake ipo bei ni mil 75 maongezi yapo
Kwa maelezo zaidi...
T-shirt na vest mpya za AFRICAN LOYALTY zinapatikana kwa bei ilioo poa na kwa ubora mkubwa.
Napatikana Sinza,Dar-Es-Salaam
T-shirt nauza 18,000 na Vest jipatie kwa 13,000
Tunafikisha Ulipo...