VIWANJA ARUSHA.

VIWANJA ARUSHA.

Mtoto wa kijiji

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2017
Posts
319
Reaction score
185
Viwanja vinauzwa arusha, mahali panaitwa mkonoo.karibu kabisa na barabara inayojengwa ya east africa.karibu na daraja linapojengwa linalotenganisha njiro na mkonoo.bei ni tshs 5,000,000/=size ni 20×20m.maelewano yapo.nichek kwa namba 0719522564 kama unahitahi.wahi mapema.daraja likiisha na barabara ikimalizika bei itapanda.wahi mapema.
 
Hahaaa mkuu umenikumbusha nilikuwa arusha natafuta kiwanja kila mtu anaekuambia anakiwanja anasema kipo karibu Na barabara ya east Africa wanatumia kigezo ichooo pandisha bei
 
Yah.wengine wanaongea tu unakuta brbr iko mbali sana.hyo ni hakika kabsa.nina sight hayo maeneo na mimeanza kutengeneza makazi mdogomdogo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom