Madini ya ulanga yanahitajika

Madini ya ulanga yanahitajika

twende kazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,520
Reaction score
461
Ulanga mweusi tinted.Kwa kuanzia zinahitajika kama tani 5 hivi.Kama unazo nicheki pm.Bei maelewano.
 
Uko wapi uletewe

Mkuu hiyo ilitangazwa siku nyingi sana zilizopita.

Ila, iwapo hiyo biashara unayo,
Au kama unayo MADINI yoyote mengine,

Nitafute nikutafutie Masoko.

Piga: +255-714-59-15-48.
[HASHTAG]#dalalitz[/HASHTAG] (GeneralBroker)
 
Mkuu hiyo ilitangazwa siku nyingi sana zilizopita.

Ila, iwapo hiyo biashara unayo,
Au kama unayo MADINI yoyote mengine,

Nitafute nikutafutie Masoko.

Piga: +255-714-59-15-48.
[HASHTAG]#dalalitz[/HASHTAG] (GeneralBroker)
Habari. Nina mawe yenye rangi ya kijani. Naomba uniambie ni mawe gani na km unaweza nitafutia soko tuone tunatokaje. Naambatanisha na picha
d39ebb0bed4b9ef5db527832c37f653b.jpg
57b59c98f8a707f1934e9941aee2e7c8.jpg
bceff4c1e74d463fdcc304588c615759.jpg
a05d9573be6e9568db0493c4512f611a.jpg
 
Mi hata kuyaona sijawahi.....daaahh yanatumika kwenye vitu gn hayo[emoji54]
 
Back
Top Bottom