D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,160
- 3,259
Awali ya yote sikutegemea kama kuna watu wana roho nzuri kiasi hiki
Member huyu amejitolea eneo zaidi ya heka 10 huko magonza tena bure kwa ajili ya watu kulima hvyo basi naomba tuungane vijana 7 wachapakazi tuingie mzigoni kilimo kinalipa ambaye yupo tayari aje pm
Tukachape kazi
Cc cumins
Tujikusanye tuingie mzigoni
---------------------------------------
Zimebaki nafasi tano
---------------------------------------
Zimebaki tatu
mazao yaliyoko kwenye mpango
*******Mpunga
*******Matango
fursa ya kutoka kimaisha
Ushauri wa wadau ni muhimu
Member huyu amejitolea eneo zaidi ya heka 10 huko magonza tena bure kwa ajili ya watu kulima hvyo basi naomba tuungane vijana 7 wachapakazi tuingie mzigoni kilimo kinalipa ambaye yupo tayari aje pm
Tukachape kazi
Cc cumins
Tujikusanye tuingie mzigoni
---------------------------------------
Zimebaki nafasi tano
---------------------------------------
Zimebaki tatu
mazao yaliyoko kwenye mpango
*******Mpunga
*******Matango
fursa ya kutoka kimaisha
Ushauri wa wadau ni muhimu