Kwa anayehitaji mbolea ya kinyesi cha kuku kutoka banda la kuku anicheki... Ipo mifuko takribani kumi plus ya kilo hamsini hamsini...Bei ni elfu tatu (3,000/=) kwa kiroba/mfuko. Niko maeneo ya...
IT IS PINK HIJAB DAYS FOR ALL STARA WOMEN.
Kwa maelezo zaidi follow instagram page yetu (pink_hijabtz),weka picha yako ukiwa umevaa hijab ya pink kwenye akaunti yako ya instagram kisha tag...
samsung galaxy S4 mpya inauzwa 300,000/=
baadhi ya specification:
RAM 2GB
Internal 16gb
rangi nyeupe
full box with all accesories
nipo dar mabibo
kwa anayehitaji ni pm au nicheck 0713280314
Habari ya Jpili; kichwa cha tangazo chahusika. Ninahitaji la samsung J5 prime MPYA kwa bei ya Tsh 350000. Mwisho wa tangazo ni kesho saa 1800 hrs 08/01/2018. Karibuni..
Contact me now for effective design and desirable plus complicated plans.
Tunafika site kwako tunachukua vipimo..halafu tunafanya kazi
Karibu sana
0654919121
0758919121
0622060797
0683928358...
Nina mahindi yapo Safi Hata dalili ya kubunguliwa Bado yapo sumbawanga. Kwa mnunuzi anaye hitaji naomba tuwasiliane namba kwa namba hizi 0753422844., 0718930097
Habari zenu wakuu
Nina Kiwanja nakiuza kiko bukoba mjini barabarani kabisa .Pia Kuna na Frame saba ziko nawapangaji,na nyumba ya kuishi ya vyumba vinne kila chumba ni self.
Frame za duka kila...
Habari wakuu....
Kama 'heading' inavyojieleza. Nahitaji laini za M-pesa, Tigo Pesa, Airtel Money na Halopesa. Kama unazo ni-pm tufanye biashara au WhatsApp 0784132525
Ni mchele uliothibitishwa na wataalamu wa lishe na madaktari ulimwenguni mweote kuwa unawafaa watu wenye kisukari.
Sasa unapatikana nchini Tanzania.
Kwa aliye na nia nao na ana hitaji .
Ani PM...
Heshima kwenu wote,
Dereva mzoefu na mwaminifu mwenye zaidi ya miaka 25 ya udereva, anatafuta gari ya kuendesha na kupata ridhiki,ana uzoefu wa kuendesha gari aina zote kuanzia malori makubwa...
Wadau wa kilimo,nina shamba langu ekari 5 linapatikana maeneo ya kingolwira,umbali wa kama km 20 kutoka main road,(Dar - Moro).
Pnafikika vizuri kabisa kwa usafiri wowote,ninauza kwa sababu nina...
Wakuu habari nimeamua kufunga ofisi yangu kutokana na biashara kuwa ndivyo sivyo, nina meza kubwa,printer,cabinet na meza ya reception na kiti cha reception,pamoja na viti vya wageni vinne,
bei ni...
Wadau,
Nina muhogo eka mbili upo tayari kwa ajili ya mavuno na kuuzwa kwa anaetaka ni muhogo kutokea njia ya digo Tanga na ni mtamu haswa.
Kwa anaetaka tuwasiliane PM au kama kuna mtu anajua...
Bitclub ni campany inayohusika na trading ambayo inafanya kazi ya kununua na kuuza coin
(inanunua coin za kidigital kwa bei ya chini na ikipanda kuuza kwa bei ya juu)
DOLLAR KILA SIKU ZINAINGIA...
S6 edge 32gb original bado kwenye box.
Full n.a. accessories zote.
Fast charger iko ndani.
Warranty 1year.
Kwa mahitaji ya simu za uhakika na kwa uaminifu tuna deliver.
Call:071730913/0625518320...