Mbolea ya kinyesi cha kuku inauzwa

Mbolea ya kinyesi cha kuku inauzwa

C.K

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
394
Reaction score
166
Kwa anayehitaji mbolea ya kinyesi cha kuku kutoka banda la kuku anicheki... Ipo mifuko takribani kumi plus ya kilo hamsini hamsini...Bei ni elfu tatu (3,000/=) kwa kiroba/mfuko. Niko maeneo ya Changanyikeni/Ubungo. KARIBUNI..!!
 
Back
Top Bottom