muggyen
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 347
- 254
Habari zenu wanajamvi, kuna mzigo upo Swiss port kwa sasa ulikuja kwa Airmail ya Fedex. Nahitaji agent wa ku clear mzigo huo. Nimeshindwa bei za kuclear na agent wa Fedex. Mzigo ni wa matumizi binafsi ambayo ni laptop pamoja na tablet. Tunaweza wasiliana kwa PM au moja kwa moja kupitia 0673926611.Ila wakuu niulize tu kiswali kidogo kwa wenye uzoefu. Hivi mtu akinunua laptop kwa matumizi binafsi napo anapaswa alipe kodi TRA pamoja na kutafuta wakala maalum wa clearing au pengine si sawa?! Kwa waozefu wa mambo haya naombeni msaada
Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app
Sent from my LG-D855 using JamiiForums mobile app