Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama kichwa cha habari kinavyosema,nahitaji betri ya laptop Apple MacBook Pro inch 15 model A 1175 karibuni
0 Reactions
0 Replies
679 Views
Habar ya mda huu wapendwa kama kichwa Cha habari kinavyosema nauza viatu vya ngozi Masai original kutoka namaga Kenya Aina zote kwa bei nafuu pia tunakopesha ni hapa dar karibu Sana wateja
0 Reactions
17 Replies
8K Views
Wanabodi amani iwe kwenu. Kuna eneo ( Plot) zuri sana liauzwa. Lipo mji wa Kibaigwa Dodoma. 1. Lina ukubwa wa heka 7 2. Lipo pembezoni mwa barabara ya Dodoma-Dar 3. Limepimwa na lina hati miliki...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Nafuta mashine ya kukandia ng'ano Yenye uwezo wa kukanda kilo 30 hadi 50. Naomba yoyote mwenye kujua wapi zinapatikana hizo machine na bei yake...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Magauni ya harusi yamekodiwa mara chache yana hali nzuri , moja ni jipya , pia yapo ya send off na sherehe mbalimbali . Yanafaa kukodisha au matumizi binafsi. Kuanzia laki moja (100,000 -200,000)...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari wadau.Nauza simu aina ya IPhone 8 with storage 256 GB.Tangu nimenunuwa haina hata mwezi. Kama unaitaka njoo inbobo
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari, kama unamjua dada wa kazi au yeyote anayetafuta tafadhali tuwasiliane. Regards, Rogie
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Laptop unaweza kutumika kama iPad pia. Laptop ni core i 5, Ram 4GB HDD 120, inatunza chaji zaidi ya masaa kumi. If interested call 0717425183. Bei ni shiling 600,000 Karibuni
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Wadau nina mzigo wa mahindi Lakini kwa mkoa niliopo bei hairidhishi kabisa yaani ni hasara kubwa na inazidi kushuka kila kukischa... Nisaidieni wadau bei zipoje huko kwenu Niuze angalau nirudishe...
0 Reactions
4 Replies
772 Views
Habari wakuu Nipo hapa kutafuta mtaalamu wa Kupiga kinanda anifundishe Hadi nifaham vizuri nipo tayari kumlipa kiasi tutakachoelewana naye.. Na kama akiwa choir master au organist itakuwa poa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari naitwa Elia ni mtaaramu wa mambo ya urembo na ususi kwenye salon ya kike nahitaji ajira ya salon na uzoefu wa kutosha kwa mambo ya saloon nahitaji kazi saloon ya kike dar nafanya vitu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
kwa wanaotaka kufungua hotel au bar ninakodisha nyumba ya biashara ipo Arusha sanawari. Ina eneo la wazi la kutosha. kodi tutaongea utakapofika kwenye eneo husika. tuwasiliane kwa namba hizi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji mifuko ya salfeti kuanzia kilo 1,2 na 5kg. Kwa mtu anayetengeneza na kuweka logo tafadhali tuwasiliane ama hata kama unamjuwa anayefanya iyo kazi nisaidie tuu. check sample ya mfuko hapo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari zenu ,nina milion 3 natafuta gari ndogo ya kukatia msele hapa mjini <br />Msaada please
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Je Unahitaji kupunguza mwili haraka Vegievegie ni bidhaa mpya ambayo inaupunguza mwili haraka bila Kuleta Athari kwa mwili Inaformula madhubuti inayowezesha mwili kupungua Kwasababu inapunguza...
0 Reactions
0 Replies
578 Views
Habari Wakuu! Kutokana na kudorola kwa biashara, Nimeamua kufunga Stationary! Kuna items ambazo zimebaki na ningependa kuziuza kabla ya kufunga! Nina Canon C-EXV33 Tonner 6 for imageRUNNER...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa wale wanaohitaji mayai ya kisasa yanapatikana kila siku kwa jumla na rejareja.Napatikana Kibaha kwa mfipa. Mawasiliano..0716666954
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa vijana walio na mzoefu wa kuuza na kuchoma chips kuku na samaki awe mwaminifu na mwadilifu kwa maelezo zaidi 0773262576 Wakazi wa dar tu
2 Reactions
4 Replies
2K Views
nifanye nn ili biashara yang ya saloon ya kike isi dolole waungwana ndo kwanza nafungua
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu. Tumeshuhudia kupata mtaji fedha imekuwa changamoto kubwa. Lakini pia, hakuna njia ya kuukuza mtaji kama hujawekeza kwenye mradi wowote. Hivyo Sisi Drones Online Ads tumekuwa kwa muda...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…