Habari, kama unamjua dada wa kazi au yeyote anayetafuta tafadhali tuwasiliane.
Regards,
Rogie
kama upo serious njoo pm kuna mama alinipa mfanyakazi juzi sihitaji mfanyakazi yupo vizuri sana lakini mwajiri wake ni mwendawazimu
kwa kweli amepata kazi kwingineHabari, kiongozi
smahani huyu msichana bado yupo yaani hajapata kazi kwingine?
hivi ushapata yule mdada au nije tu mimiNjoo basi.
niambie bas mshahara bei gani ili leo leo nije mjini hukoBado sijapata, njoo basi