Inahitajika nyumba ya kupanga haraka sana

Inahitajika nyumba ya kupanga haraka sana

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,291
Reaction score
23,168
Jamaa yangu anatoka mkoani anahamia dar. Anahitaji nyumba maeneo ya kuanzia tabata bima kwenda segerea mpaka tabata chang'ombe. Anasema offa yake ni tsh 300,000 kwa mwezi.

Nyumba iwe na vyumba 3 kimoja masterbedroom.jiko kubwa, choo public ndani,fensi geti,tiles,paving blocks na luku maji vya kujitegemea.

Kama kuna anayeweza kufanikisha tukio hili ani PM tafadhali. Jamaa anataka so soon.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom