Cryptocurrency speculators & analysts mpo?

Cryptocurrency speculators & analysts mpo?

titimunda

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2014
Posts
7,565
Reaction score
9,808
Mara ya kwanza kukutana na habari za digital currency ilikuwa mwaka 2012 kipindi hicho bitcoin moja ilikuwa ikiuzwa dola saba.miaka mitano baadae(2017) thamani ya bitcoin moja ni 2756$.Kwa mahesabu ya haraka haraka kama ningenunua bitcoin 100, kwa dola 700 ambayo kwa mwaka huo(2012) ilikuwa ni shilingi 1,106,000 nikaziuza leo tarehe 1/8/2017 kwa rate ya 1usd:2239tzs ningepiga shilingi milioni mia sita na kumi na saba sitini nane elfu na mia nne (617,068,400).kwa kipindi kile niliichukulia bitcoin kama sarafu tu sikuwahi kufikiri itakuja kupanda thamani kiasi hiki,saizi ningekuwa mtamu balaa najilaumu kwanini sikushtuka mapema.

Sasa ningependa kupata maoni ya wajuvi ni coin zipi zinazochipukia au ambazo bado changa zenye potential kubwa ya kupanda thamani in the near future,tuweze kuwekeza long term.

Katika tathmini yangu ya kilayman nimevutiwa na Monero,ETHERIUM MOVIE VENTURE(EMV) na ANS/NEO naziona kama zitakuja kufanya vizuri siku za mbele
cb596a030e604b2cbb70becf622c3953.jpg


-
 
Safi sana, nafurahi kuona kuna wabongo mnaofahamu direction ya dunia kwa sasa.
Nakushauri uwekeze kwenye coin zifuatazo:

1. RUPEE (RUP) ipo Coinexchange/Yobit
2. LINDA ipo Cryptopia/coinexchange/yobit
3. Verge (Bittrex kama sikosei)
4. NXT (poloniex)
5. DIGIBYTE (DGB)

Note: Beware of scamcoins

Kila la heri!
 
Safi sana. Huu uzi ni mtamu kwani Dunia saivi dunia itaendeshwa na hizi crypto currencies.

Binafsi, hizi taarifa za kupanda kwa bitcoin kutoka $10 hadi kufikia $2756 sio mchezo.

Nmekuwa nkiifuatilia sarafu ya Bitcoin kwa ukaribu sana.

Kuna taarifa nmezipata hii leo August 02,kwenye mtandao kuwa ifikapo 2028, Bitcoin moja inaweza kuwa na thaman ya $100,000/- na kuzidi.

Hivyo basi, kwa wale walio na plan za mbali kama Wakulima wa Mbao huko Iringa, hii ni sehemu yenye faida ya kuwekeza.

Sarafu nyingine ambayo inachipukia kwa kasi sana saivi ni ETHEREUM, KWA SASA thamani yake imefikia $320 wakati mwaka jana mwezi wa kumi ilikuwa na thamani ya $8. Hii nayo ni fursa.kwani wataalamu wa uchumi wanadai kuwa, kufikia mwishoni mwa mwaka kesho ina weza ikawa juu ya thamani ya Bitcoin kithamani.

Tahadhari. Inahitajika tahadhari kubwa sana kwenye utunzaji wa sarafu hii ya kimtandao, failure to do so, kuna hawa wakora wa Mtandaoni, huwa na uwezo wa kuidukua toka kwenye Wallet yako bila ya wewe kujua. Pia tahadhari nyingine, niutunzaji wa Seed Wallet yako, hii kwa kizungu wanaiita "Recovery phrase" yaani, kama simu yako unayotunzia izo bitcoin kwa application maalumu ambazo wanaziita Wallets, simu hiyo ikiharibika au kuibiwa, ili uweze kuhamisha kumbukumbu za wallet yako pamoja na salio lako lote la bitcoin, lazima uwe na hii Recovery phrase. Otherwise, hata kama ulikuwa na bitcoin zenye thamani ya $1ml, hutoweza kuzipata tena. Zitakuwa zimeyeyuka.

Tahadhari nyingine, ni utunzaji wa Seed yenyewe, sio vyema kuihifadhi online, kama kwnye Email au Cloudserver services. Huko ndio rahisi zaidi kudukuliwa na wajanza(Hackers)

923b87ecf83491142040566a076a31cf.jpg


1174a5d465c093c586d47871ec49012e.jpg
 
Safi sana. Huu uzi ni mtamu kwani Dunia saivi dunia itaendeshwa na hizi crypto currencies.

Binafsi, hizi taarifa za kupanda kwa bitcoin kutoka $10 hadi kufikia $2756 sio mchezo.

Nmekuwa nkiifuatilia sarafu ya Bitcoin kwa ukaribu sana.

Kuna taarifa nmezipata hii leo August 02,kwenye mtandao kuwa ifikapo 2028, Bitcoin moja inaweza kuwa na thaman ya $100,000/- na kuzidi.

Hivyo basi, kwa wale walio na plan za mbali kama Wakulima wa Mbao huko Iringa, hii ni sehemu yenye faida ya kuwekeza.

Sarafu nyingine ambayo inachipukia kwa kasi sana saivi ni ETHEREUM, KWA SASA thamani yake imefikia $320 wakati mwaka jana mwezi wa kumi ilikuwa na thamani ya $8. Hii nayo ni fursa.kwani wataalamu wa uchumi wanadai kuwa, kufikia mwishoni mwa mwaka kesho ina weza ikawa juu ya thamani ya Bitcoin kithamani.

Tahadhari. Inahitajika tahadhari kubwa sana kwenye utunzaji wa sarafu hii ya kimtandao, failure to do so, kuna hawa wakora wa Mtandaoni, huwa na uwezo wa kuidukua toka kwenye Wallet yako bila ya wewe kujua. Pia tahadhari nyingine, niutunzaji wa Seed Wallet yako, hii kwa kizungu wanaiita "Recovery phrase" yaani, kama simu yako unayotunzia izo bitcoin kwa application maalumu ambazo wanaziita Wallets, simu hiyo ikiharibika au kuibiwa, ili uweze kuhamisha kumbukumbu za wallet yako pamoja na salio lako lote la bitcoin, lazima uwe na hii Recovery phrase. Otherwise, hata kama ulikuwa na bitcoin zenye thamani ya $1ml, hutoweza kuzipata tena. Zitakuwa zimeyeyuka.

Tahadhari nyingine, ni utunzaji wa Seed yenyewe, sio vyema kuihifadhi online, kama kwnye Email au Cloudserver services. Huko ndio rahisi zaidi kudukuliwa na wajanza(Hackers)

923b87ecf83491142040566a076a31cf.jpg


1174a5d465c093c586d47871ec49012e.jpg
Screenshot_2017-08-05-13-01-36.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mara ya kwanza kukutana na habari za digital currency ilikuwa mwaka 2012 kipindi hicho bitcoin moja ilikuwa ikiuzwa dola saba.miaka mitano baadae(2017) thamani ya bitcoin moja ni 2756$.Kwa mahesabu ya haraka haraka kama ningenunua bitcoin 100, kwa dola 700 ambayo kwa mwaka huo(2012) ilikuwa ni shilingi 1,106,000 nikaziuza leo tarehe 1/8/2017 kwa rate ya 1usd:2239tzs ningepiga shilingi milioni mia sita na kumi na saba sitini nane elfu na mia nne (617,068,400).kwa kipindi kile niliichukulia bitcoin kama sarafu tu sikuwahi kufikiri itakuja kupanda thamani kiasi hiki,saizi ningekuwa mtamu balaa najilaumu kwanini sikushtuka mapema.

Sasa ningependa kupata maoni ya wajuvi ni coin zipi zinazochipukia au ambazo bado changa zenye potential kubwa ya kupanda thamani in the near future,tuweze kuwekeza long term.

Katika tathmini yangu ya kilayman nimevutiwa na Monero,ETHERIUM MOVIE VENTURE(EMV) na ANS/NEO naziona kama zitakuja kufanya vizuri siku za mbele
cb596a030e604b2cbb70becf622c3953.jpg


-
As of today
Screenshot_2017-08-06-06-24-26.png
 
Ukitaka kununua bitcoin unanunuaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia hapa
FreeBitco.in - Free Bitcoin Wallet, Faucet, Lottery and Dice!
jisajili bure halafu clic palipoandikwa Deposit kisha buy bitcoin itakufungulia link ya local Bitcoin humo utakuta wengi wanauza na kununua bitcoin na bei zake. Pia waweza cheza free game au za kulipia na ukapata bitcoin za bure ingawa km huna bahati kwenye gams za kulipia itakuchukua muda mrefu hadi hizo za bure zifikie bicoin moja. Lkn pia waweza uza hata km hazijatim vitcoin moja na ukapata kuanzia 1.4$ to 2000$ kutegemea na satoshi utakazopata.

La muhimu ni kuangalia na kuwa makini maana kuna platforms nyingi za bitcoin na nyingi ni za kitapeli pia unapoouza uwe makini kwani waweza tuma bitcoin ama cash ya kununulia kwa mtu usiyemfahamu akakuibia. Hivyo ni vyem sana ukauza au kununua kwa mtu unayemfahamu.
 
Bitcoin itakuja kufika hadi $10,000 per bitcoin. So its still a valid choice kwa anayetaka kununua. Cryptocurrency ni nyingi sana ila mara mia kuplay safe na kudeal na the most popular Bitcoin,Etherium, Litecoin, Ripple maana angalau hizo zina probability ya kulast muda mrefu na kua na urahisi wa kuuza na kununua.

Nyingine si mbaya kujump in early ila zinaweza zisikue ukaishia kutebgeneza very little profit au kupoteza kabisa. Kama unakomaa na nyingine ukitegemea zitakuja kukua thennakushauri ufanye mining mwenyewe tu maana nyingi bado kwenye stage ambayo computational power ndogo tu inaweza mine bila tatizo. Usifanye mining ya hizi popular coins for not its a waste of time hata top of the line GPUs hazitokusaidia unashindana na watu wana mining rigs zinazocost hundred million of dollars, hizi popular ones kaa usikilizie zikishuka tu nunua fasta then hold for the long term. Kama huna hela then acha tu hii bubble ikupite, inabidi uwe na hela ambayo inaweza kaa tu miaka kama miwili mitatu huitumii.
 
Ingia hapa
FreeBitco.in - Free Bitcoin Wallet, Faucet, Lottery and Dice!
jisajili bure halafu clic palipoandikwa Deposit kisha buy bitcoin itakufungulia link ya local Bitcoin humo utakuta wengi wanauza na kununua bitcoin na bei zake. Pia waweza cheza free game au za kulipia na ukapata bitcoin za bure ingawa km huna bahati kwenye gams za kulipia itakuchukua muda mrefu hadi hizo za bure zifikie bicoin moja. Lkn pia waweza uza hata km hazijatim vitcoin moja na ukapata kuanzia 1.4$ to 2000$ kutegemea na satoshi utakazopata.

La muhimu ni kuangalia na kuwa makini maana kuna platforms nyingi za bitcoin na nyingi ni za kitapeli pia unapoouza uwe makini kwani waweza tuma bitcoin ama cash ya kununulia kwa mtu usiyemfahamu akakuibia. Hivyo ni vyem sana ukauza au kununua kwa mtu unayemfahamu.
Acha kumdanganya mwenzako na referral links zako. Msimsikilize huyu, kama unataka bitcoin, nenda moja kwa moja remitano.com au localbitcoins.com hao wana wallets humo humo au waweza fungua wallet nyingine popular kama xapo, coinbase, wallet.btc.com etc
 
Safi sana, nafurahi kuona kuna wabongo mnaofahamu direction ya dunia kwa sasa.
Nakushauri uwekeze kwenye coin zifuatazo:

1. RUPEE (RUP) ipo Coinexchange/Yobit
2. LINDA ipo Cryptopia/coinexchange/yobit
3. Verge (Bittrex kama sikosei)
4. NXT (poloniex)
5. DIGIBYTE (DGB)

Note: Beware of scamcoins

Kila la heri!
Shukran mkuu ngoja nizifanyie research,vipi unaionaje NEO,?
 
Safi sana. Huu uzi ni mtamu kwani Dunia saivi dunia itaendeshwa na hizi crypto currencies.

Binafsi, hizi taarifa za kupanda kwa bitcoin kutoka $10 hadi kufikia $2756 sio mchezo.

Nmekuwa nkiifuatilia sarafu ya Bitcoin kwa ukaribu sana.

Kuna taarifa nmezipata hii leo August 02,kwenye mtandao kuwa ifikapo 2028, Bitcoin moja inaweza kuwa na thaman ya $100,000/- na kuzidi.

Hivyo basi, kwa wale walio na plan za mbali kama Wakulima wa Mbao huko Iringa, hii ni sehemu yenye faida ya kuwekeza.

Sarafu nyingine ambayo inachipukia kwa kasi sana saivi ni ETHEREUM, KWA SASA thamani yake imefikia $320 wakati mwaka jana mwezi wa kumi ilikuwa na thamani ya $8. Hii nayo ni fursa.kwani wataalamu wa uchumi wanadai kuwa, kufikia mwishoni mwa mwaka kesho ina weza ikawa juu ya thamani ya Bitcoin kithamani.

Tahadhari. Inahitajika tahadhari kubwa sana kwenye utunzaji wa sarafu hii ya kimtandao, failure to do so, kuna hawa wakora wa Mtandaoni, huwa na uwezo wa kuidukua toka kwenye Wallet yako bila ya wewe kujua. Pia tahadhari nyingine, niutunzaji wa Seed Wallet yako, hii kwa kizungu wanaiita "Recovery phrase" yaani, kama simu yako unayotunzia izo bitcoin kwa application maalumu ambazo wanaziita Wallets, simu hiyo ikiharibika au kuibiwa, ili uweze kuhamisha kumbukumbu za wallet yako pamoja na salio lako lote la bitcoin, lazima uwe na hii Recovery phrase. Otherwise, hata kama ulikuwa na bitcoin zenye thamani ya $1ml, hutoweza kuzipata tena. Zitakuwa zimeyeyuka.

Tahadhari nyingine, ni utunzaji wa Seed yenyewe, sio vyema kuihifadhi online, kama kwnye Email au Cloudserver services. Huko ndio rahisi zaidi kudukuliwa na wajanza(Hackers)

923b87ecf83491142040566a076a31cf.jpg


1174a5d465c093c586d47871ec49012e.jpg
Mkuu nmekusoma,shukrani kwa tahadhari,mimi nahifadhi coin kwenye hard wallet,nitaprint zile link kwenye karatasi then nahifadhi kwenye draw,naziogopa sana wallets na exchanges,wazee wa exit scam
 
Acha kumdanganya mwenzako na referral links zako. Msimsikilize huyu, kama unataka bitcoin, nenda moja kwa moja remitano.com au localbitcoins.com hao wana wallets humo humo au waweza fungua wallet nyingine popular kama xapo, coinbase, wallet.btc.com etc
Kweli kabisa,inahitajika umakini sana kwenye handling ya manunuzi na mauzo ukiingia kichwa kichwa wanalamba mkwanja wako,cha muhimu hakikisha umejisajili paypal,then utafute trusted exchange,mimi huwa namtumia jamaa yangu ambaye ni mzoefu wa hizo vitu
 
Bitcoin itakuja kufika hadi $10,000 per bitcoin. So its still a valid choice kwa anayetaka kununua. Cryptocurrency ni nyingi sana ila mara mia kuplay safe na kudeal na the most popular Bitcoin,Etherium, Litecoin, Ripple maana angalau hizo zina probability ya kulast muda mrefu na kua na urahisi wa kuuza na kununua.

Nyingine si mbaya kujump in early ila zinaweza zisikue ukaishia kutebgeneza very little profit au kupoteza kabisa. Kama unakomaa na nyingine ukitegemea zitakuja kukua thennakushauri ufanye mining mwenyewe tu maana nyingi bado kwenye stage ambayo computational power ndogo tu inaweza mine bila tatizo. Usifanye mining ya hizi popular coins for not its a waste of time hata top of the line GPUs hazitokusaidia unashindana na watu wana mining rigs zinazocost hundred million of dollars, hizi popular ones kaa usikilizie zikishuka tu nunua fasta then hold for the long term. Kama huna hela then acha tu hii bubble ikupite, inabidi uwe na hela ambayo inaweza kaa tu miaka kama miwili mitatu huitumii.
Mkuu I am in it for the long term,pia siogopi kurisk kwenye coin mpya,as long as nimejiridhisha kuwa ina potential nshapoteza hela kibao kwenye mambi mengine ya hovyo,wacha nijitoe mhanga,nitawekeza kwenye bitcoin yenyewe na digital curency nyenginezo,long term.
 
[QUOT]atoshi Nakamoto, post: 22683809, member: 435900"]Acha kumdanganya mwenzako na referral links zako. Msimsikilize huyu, kama unataka bitcoin, nenda moja kwa moja remitano.com au localbitcoins.com hao wana wallets humo humo au waweza fungua wallet nyingine popular kama xapo, coinbase, wallet.btc.com etc[/QUOTE]
Rudi kasome upya blockchain ndio uje tena hapa. Umeshindwa kujua kuwa local bitcoin na freebitcoin ni mdau mmoja. Najua umekereka kuona kuna mbadala wa Referral ambapo mtu habanwi kutoa Cash ndio aingie. Mlizoea kuwavuta watu kwenye ponz.

May be na wewe ni mmoja wa hao majizi yanayotapeli kwa id fake wakidanganya watu wananunua na kuuza bitcoin kwa Mpesa na tigo pesa.
Narudia kuna wezi wengi kwenye hizi platforms na wamiliki wake hawatoi solutions kwa wezi hawa. Huvyo ni vema ukanunua ama kuuza kwa mtu unayemfahamu.
 
Back
Top Bottom