Duuuh hiyo cash ya milioni 7 ni kwa zote tano au? Maana hujadadavua mkuuNinahitaji gari 5 aina ya IST au Ractic kwa ajili ya biashara zangu. Namba iwe "D", odomoter iwe chini ya 100,000km. Isiwe na tatizo lolote.
Bajeti yangu milioni 7 cash.
Namba D, odometer chini ya 1k, bei 7m, ukipata kama ni nzima haina tatizo lolote kuanzia bodi mpaka injini nitag mkuuNinahitaji gari 5 aina ya IST au Ractic kwa ajili ya biashara zangu. Namba iwe "D", odomoter iwe chini ya 100,000km. Isiwe na tatizo lolote.
Bajeti yangu milioni 7 cash.
Ww jamaa humtakii mema mwenzio, ukimuuzia hiyo fuga anaweza pata na ugonjwa wa moyo kabisa tukampeleka india ..nina Nissan fuga cc 3500, ipo vizuri sana namba DBC.
odometer km 89400
Bei milioni 7
Chukua hiyo mashine achana na baby walkers hzo
mil 9.5 ni bei ya kuagiza mpya, acheni wehuMln 7 uko chini sana ....chukua hii Inauzwa 9.5m,Milage zake 71000,cc 1290
Ova
Agiza uone mkuumil 9.5 ni bei ya kuagiza mpya, acheni wehu
hii hapaAgiza uone mkuu
Ova
, alafu hyo DAM ni usajili wa mwaka 2014, yaani IST imesajiliwa 2014 ipo mkononi mwa mtu kwa miaka minne sasa alafu unauza mil 9.5 wakati huohuo kuagiza kutoka japani ni hyohyo 9.5Sasa we unafikiri Huyo jamaa atapata ist kwa Mln 7 tena namba D.....hii hapa, alafu hyo DAM ni usajili wa mwaka 2014, yaani IST imesajiliwa 2014 ipo mkononi mwa mtu kwa miaka minne sasa alafu unauza mil 9.5 wakati huohuo kuagiza kutoka japani ni hyohyo 9.5
KUWENI NA HURUMA
we jamaa hata cjaelewa wamaanisha nn, by the way point yangu ni kuwa hyo IST uliosema mil 9.5 sio bei halisi, kwa maana tayari ipo mkononi mwa mtu kwa miaka minne. ndo nkakueleza kwa hyo 9.5 si bora uagize tu mpyaSasa we unafikiri Huyo jamaa atapata ist kwa Mln 7 tena namba D.....
Hata hyo mtakaji awe n'a huruma kumpatia gari kwa namba hyo ni sawa n'a kupasuana tu......
Yard ist model hii Inauzwa 12.5m hadi 11.5m
Mtu anauza gari ya mkononi kutokana na alivyoitunza alafu....
Tatizo watu humu mnapost magari kutaka kuuza wengine mnataka faida ya kila gari upate Mln 2 hakuna biashara kama hyo sku hzii
Ova