WAKUU HUSIKENI NA KICHWA TAJWA HAPO
NNA UMEME WA SOLAR PANEL 75 WATTS, BETRI YA RITAR 65 AH HII BETRI NI MMWISHO WA MATATIZO KWA WANAOZJUA HIZI KKOO CHINI YA 200,000...
Habari za muda huu simu hapo chini zinauzwa kwa njia ya mkopo wenye masharti nafuu ofisi zetu zipo mwanza ila kwa wale wa nje ya mkoa zinatumwa pia ila kwa vigezo vifuatavyo.
1.inabidi utume picha...
Mara ya kwanza kukutana na habari za digital currency ilikuwa mwaka 2012 kipindi hicho bitcoin moja ilikuwa ikiuzwa dola saba.miaka mitano baadae(2017) thamani ya bitcoin moja ni 2756$.Kwa...
Habari wapendw. Nipo Tanga mjini mtaa wa Kange nimeangusha simu yangu aina ya iphone 6splus ya silver ina kava la gold jana tarehe 26/01/2018 saa tano asubuh mtaa wa kange kasera. Ipo na icloud...
Habari wapendwa nipo Tanga mjini mtaa wa kange nimeangusha simu yangu aina ya iphone 6splus ya silver ina kava la gold jana tarehe 26/01/2018 saa tano asubuhi mtaa wa kange kasera.
Ipo na icloud...
Oppo A57
Camera Front 16MP
Camera Rear 13MP
Storage 32GB
Ram 3GB
Single Line
Display size 5.2 inches
OS Android 6.0
CPU - Octa Core 1.4GHz
Fingerprints (ya mbele kama iphone)
Inakaa na chaji...
Je wewe ni mfanyabiashara wa Duka lolote?,kama jibu ni ndio!,basi hii sio ya kukosa!"Smart IT Solutions"imekuletea mifumo ya Teknolojia(Software)itakayokusaidia kuweza kuhifadhi Taarifa Za...
Farm for Lease
A 2.5 hectare brick fenced farm at Madale Kisauke in Dar is for Lease.
The farm has a chicken house that is fully equipped with water drinkers. It can accommodate up to 10,000...
Wakuu tunafunga cctv camera, za wire na wireless, pamoja na access control kwa ajili ya maofisi,majumba,viwanda..pia tuna car track kwa ajili ya magari, pikipiki bajaj ni kifaa kinacholinda na...
Wanajukwaa habari zenu?
Ninauza kiwanja changu (surveyed) bado hati tu (title deed) ambayo process yake haizidi 250,000 Tshs.
Atakayekinunua nitam-link na watu wa ofisi ya Ardhi Kibaha...
HabariSMS inakutelea taarifa za ZABUNI kiganjani mwako.Tuma SMS ukiandika aina ya zabuni unayoitaka mf.Goods,Works,Consultancy kwenda namba 0752881000.Huduma hii haina gharama yoyote.
Laptop model HP 635 inauzwa ,tatizo lake imeharibika graphic card lakini accessories zingine zipo vizuri Kama 2RAM zenye jumla ya 4GB ,hard disk ya 350 GB, fane rotate and CPU and screen work but...
Wakuu tangawizi iliyokomaa vizuri ipo Peramiho Songea kwa sasa ila kwa makubaliano inaweza kukufikia popote ulipo nchini Tanzania.Kama kuna mmnunuzi anayehitaji kuanzia tani 5 tuwasiliane PM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.