Habari wakuu,
-Kiwanja kipo kwa kimara mwisho kwa komba.(Njia ya kwenda King'ongo)
-Kimepimwa ila bado kukabidhiwa hati.
-kipo sehemu ya tambalale
-Mita 20 kwa 25
-Bei Milion 12
-Maelewano yapo...
Habari zenu wakuu
Mimi ni electrical engineer ambae nimejikita zaidi kwenye upande wa solar photovoltaic systems.
Shughuli ninazofanya nipamoja na;
1: kufanya mahesabu ya ukubwa wa solar utakaofaa...
Kipo Bunju A katika eneo linaloitwa Kinondo B.
ukubwa ni miguu 70 x 35
kina karatasi zinazotambuliwa na serikali ya kijiji
ubali toka barabara kuu ya Bagamoyo ni 3km.
umeme na maji vimefika.
pia...
Booster ya radio ya gar inauzwa booster hii ni ile aina ya kenwood glass version iko katika hali nzuri na imetumika kidogo sana inuzwa bei ni 400k ila maongezi yapo kwa mwenye kuitaji anicheki...
Wakuu habari za mihangaiko na kutafuta maendeleo!.
Nimeanzisha Uzi huu maalumu kwa lengo la kuwaleta Engineers, Civil contractors na project managers pamoja kwa lengo la kupeana taarifa...
Kwa mlioko Dodoma Mjini,MIMI NI MWANAUME,natafuta kazi ya ufundishaji (part time)kwa masomo yafuatayo:-
1,commerce
2.Economic
3.Book keeping na
4.Accountancy
Na pia nina ujuzi/uelewa wa mambo ya...
Habari za humu ndani Jamani natafuta tenda za nyama ya ng'ombe mashuleni hotelini restaurant mama lishe na wenye uhutaji plizzz naomba msaada delivery free of charge mawasiliano 0716283599
Wakuu habari za mihangaiko na kutafuta maendeleo!.
Nimeanzisha Uzi huu maalumu kwa lengo la kuwaleta Engineers, Civil contractors na project managers pamoja kwa lengo la kupeana taarifa...
Yes ni kweli kabisa, nikiasi chochote cha pesa ulichonacho!
kwaiyo usiogope kuweka dau lako hapo chini...
Ni samsung galaxy mega GT-I9200 ni-used na siyo mpya hivyo hata muonekano wake siyo mbaya...
Ninahitaji gari 5 aina ya IST au Ractic kwa ajili ya biashara zangu. Namba iwe "D", odomoter iwe chini ya 100,000km. Isiwe na tatizo lolote.
Bajeti yangu milioni 7 cash.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.