Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Sifa zake angalau zianzie hapa Processor 2.5ghz Ram 4gb Hdd 500 Text 0657445777 Kama unayo hata muda huu tupige biashara.......
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Karibuni kwa huduma ya kuprint flana piga no 0653262105
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari wakuu, -Kiwanja kipo kwa kimara mwisho kwa komba.(Njia ya kwenda King'ongo) -Kimepimwa ila bado kukabidhiwa hati. -kipo sehemu ya tambalale -Mita 20 kwa 25 -Bei Milion 12 -Maelewano yapo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu Mimi ni electrical engineer ambae nimejikita zaidi kwenye upande wa solar photovoltaic systems. Shughuli ninazofanya nipamoja na; 1: kufanya mahesabu ya ukubwa wa solar utakaofaa...
1 Reactions
1 Replies
881 Views
Unauza nini? Unataka nini. Weka hapa, atakae hitaji atakutafuta. Mimi nataka Fridge ndogo, bajeti 400k.
0 Reactions
0 Replies
596 Views
Nauza simu ya Samsung s6 edge+ lakini imepasuka kioo inanunua unaenda kuweka kioo iko bomba mambo mengine yote
1 Reactions
28 Replies
6K Views
Kipo Bunju A katika eneo linaloitwa Kinondo B. ukubwa ni miguu 70 x 35 kina karatasi zinazotambuliwa na serikali ya kijiji ubali toka barabara kuu ya Bagamoyo ni 3km. umeme na maji vimefika. pia...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Booster ya radio ya gar inauzwa booster hii ni ile aina ya kenwood glass version iko katika hali nzuri na imetumika kidogo sana inuzwa bei ni 400k ila maongezi yapo kwa mwenye kuitaji anicheki...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Wakuu habari za mihangaiko na kutafuta maendeleo!. Nimeanzisha Uzi huu maalumu kwa lengo la kuwaleta Engineers, Civil contractors na project managers pamoja kwa lengo la kupeana taarifa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mlioko Dodoma Mjini,MIMI NI MWANAUME,natafuta kazi ya ufundishaji (part time)kwa masomo yafuatayo:- 1,commerce 2.Economic 3.Book keeping na 4.Accountancy Na pia nina ujuzi/uelewa wa mambo ya...
0 Reactions
2 Replies
582 Views
Nahitaji simu tajwa hapo juu, nipo dodoma.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za humu ndani Jamani natafuta tenda za nyama ya ng'ombe mashuleni hotelini restaurant mama lishe na wenye uhutaji plizzz naomba msaada delivery free of charge mawasiliano 0716283599
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Wakuu habari za mihangaiko na kutafuta maendeleo!. Nimeanzisha Uzi huu maalumu kwa lengo la kuwaleta Engineers, Civil contractors na project managers pamoja kwa lengo la kupeana taarifa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
House for rent, tabata mwananchi one master and three bedrooms parking space of more than five cars water and electricity are available
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Yes ni kweli kabisa, nikiasi chochote cha pesa ulichonacho! kwaiyo usiogope kuweka dau lako hapo chini... Ni samsung galaxy mega GT-I9200 ni-used na siyo mpya hivyo hata muonekano wake siyo mbaya...
0 Reactions
53 Replies
3K Views
Ninahitaji gari 5 aina ya IST au Ractic kwa ajili ya biashara zangu. Namba iwe "D", odomoter iwe chini ya 100,000km. Isiwe na tatizo lolote. Bajeti yangu milioni 7 cash.
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Hi jf vp jamani bango linasomeka hapo iwe safi haijabamizwa Nina M4
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Jumla ya miti 2570 inamiaka 8 ipo njombe pm kama unataka tufanye biashara
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Samsung grand prime core 3G Internal 8gb aina tatizo lolote Price 100,000
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Naprint flana Aina zote karibuni 0653262105.
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Back
Top Bottom