Hii ndio bidhaa bora duniani kuwahi kutokea

Hii ndio bidhaa bora duniani kuwahi kutokea

101 East

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2015
Posts
1,057
Reaction score
2,256
Habarini wakuu
Hapa naizungumzia pasi ya nguo philips
Maker : Phillips
Model name:vintage
Model no: 1120/B
Manufacture year:1980
Wakuu hii kitu alinunua marehemu baba yangu soon to alipooana na bi.mkubwa kipindi hiko aliiagiza kutoka holland direct sikumbuki alitumia shilling ngapi mpaka huu mzigo kufika ila tangu walipofunga ndoa 1981 mpaka leo hii bidha bado inapiga kazi
Mimi nimeirithi 2013 na bado inapiga kazi licha ya wife kununua michina kadhaa iliyokwisha jifia inamuacha huyu kidume Phillips vintage bado kinapiga kazi
Nimekicheck kwenye mitandao mbalimbali nimeikuta eBay ikiwa inauzwa EUR 100€ ambayo kama ni laki mbili na kadhaa ya tz kwa pesa zetu za madafu

Ushauri
Kama.unataka pasi basi itafute hii Phillips ndio alama ya ubora

Hii si promo ila ni ushauri tu kumuepuka mchina kwenye vifaa muhimu kama hivi vya utanashati

d8bc9cad57558fb2bcd74edb7742add4.jpg

1a7fd44b7eeaae775bf566d18d20a941.jpg
 
Pamoja na jina zuri la Phillips na ubora wake lakini mzee wako ni mtunzaji mzuri.

Kuna watu wa aina hiyo kwenye maisha. Wapo smart na wana principles zao, mara nyingi wanaitwa wakuda.

Principles zao: akitumia kitu anarudisha pale pale anapowekaga, na kama hatakikuta alipokiweka basi tabiri ugomvi.

Mara nyingi hawa watu ni wasafi na wachapakazi.
 
Pamoja na jina zuri la Phillips na ubora wake lakini mzee wako ni mtunzaji mzuri.

Kuna watu wa aina hiyo kwenye maisha. Wapo smart na wana principles zao, mara nyingi wanaitwa wakuda.

Principles zao: akitumia kitu anarudisha pale pale anapowekaga, na kama hatakikuta alipokiweka basi tabiri ugomvi.

Mara nyingi hawa watu ni wasafi na wachapakazi.
Pamoja na jina zuri la Phillips na ubora wake lakini mzee wako ni mtunzaji mzuri.

Kuna watu wa aina hiyo kwenye maisha. Wapo smart na wana principles zao, mara nyingi wanaitwa wakuda.

Principles zao: akitumia kitu anarudisha pale pale anapowekaga, na kama hatakikuta alipokiweka basi tabiri ugomvi.

Mara nyingi hawa watu ni wasafi na wachapakazi.
Kweli asee kuna mzee ni hakimu mstaafu naishi nae jirani na kwa bahati mbaya mkewe alishafariki kitambo,kwa usafi na utunzaji ni kiboko aisee.Sufuria zake zinawaka kama kioo,akianza kuosha pikipiki yake ni saa moja asubuhi mpaka saba mchana ndio anamaliza.Hataki kuona hata jani limeanguka kwenye eneo lake.
 
Kweli asee kuna mzee ni hakimu mstaafu naishi nae jirani na kwa bahati mbaya mkewe alishafariki kitambo,kwa usafi na utunzaji ni kiboko aisee.Sufuria zake zinawaka kama kioo,akianza kuosha pikipiki yake ni saa moja asubuhi mpaka saba mchana ndio anamaliza.Hataki kuona hata jani limeanguka kwenye eneo lake.
Hahaha. Kiongozi umenichekesha sana.
 
Hongera sana. Pia ahsante kwa kutujuza.

Naomba kuuliza kwa kuzingatia adala, mantiki na zaidi sana pasina kuleta mushkeri "Ni bidhaa bora ukiifananisha na ipi"?.

Unaposema "kumuepuka Mchina" una fasilisha nini?.
 
Natamani nifike home mapema niwaonyeshe possession yangu ya vifaa vya kihenga!! Kuna kikombe cha chuma cha ujazo wa nusu lita,mother anasema wakati anaolewa mwaka 1964 alikikuta ghetto kwa mdingi! Na hakikuwa pekee bali pia kulikuwa na sahani ya (udongo?) ambayo pia ninayo hadi leo!ina uzito wa nusu kilo ikiwa tupu! Hicho kikombe kimewahi kuibiwa mara kadhaa lakini huwa napata taarifa ya uwepo wake kutoka kwa yeyote anayekiona! Maana hicho kikombe ni maarufu sana hapo mtaani!
 
Pamoja na jina zuri la Phillips na ubora wake lakini mzee wako ni mtunzaji mzuri.

Kuna watu wa aina hiyo kwenye maisha. Wapo smart na wana principles zao, mara nyingi wanaitwa wakuda.

Principles zao: akitumia kitu anarudisha pale pale anapowekaga, na kama hatakikuta alipokiweka basi tabiri ugomvi.

Mara nyingi hawa watu ni wasafi na wachapakazi.
Ni kweli kabisaa huyu mzee alikuwa marine engineer ni mkuda hatari yaani mpaka kero kila kitu lazima kirudi mahala pake
Tumelelewa kwa sheria kali ila ukubwani nimeona faida ya ukuda wake
 
Back
Top Bottom