Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza camera Canon 650D kwa bei ya shilingi 850,000 tu. Pia napokea exchange deal na Smart TV LG au Samsung namba yangu ni 0712222575
0 Reactions
0 Replies
695 Views
Jamani kulingana na usawa ulivo bana biashara dukani wateja wamepungua nataka nianze kuzunguka mitaani sasa basi naomba mnielekeze maeneo gani mazuri ambayo nitafanyia mzunguko wa biashara yangu...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakubwa! Hbr vp! Nauliza machine ya kupimia gar *Auto diagnostic machine* inauzwa bei gan na upatikanaji wake upoje?
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Type-hp Processor-core i5 Ram-4gb Hdd-500gb Bettry life- 4 to 5hrs Price-400,000tsh 0764319884 dar es salaam
0 Reactions
9 Replies
992 Views
habari wadau.. * kutokana na maoni ya wengi... tutakuwa na training ya tshirt printing.. ambayo itafanyika workshop karibu na mabibo hostel Tshirt Garage Mabibo Hostel...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mifugo huhitaji majani mabichi lakini pia makavu kwa ajili ya kuongeza ukuaji wa haraka lakini pia kuongeza kiasi cha maziwa kwa ng'ombe. MAJANI HAYA YANAPATIKANA WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wadau, mikopo ya biashara kwa wote wenye nia ya dhati...ni kuanzia mil 200 na kuendelea..inatoka ndani ya siku 21 tuu, no longolongo. Nb: vitu vya kuzingatia ni dhamana-nyumba...
0 Reactions
11 Replies
15K Views
Used ♢screen 2.80 inch ♢storage 8gb ♢ram 768mb ♢battery capacity 1230mah Location: dar es salaam Call: 0752362207 Bei tshs 65,000/= Picha zake halisi hizi hapa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hii kauli ya bure imestua wengi kidogo ila ni kweli bure! kwa sababu bei utapanga wewe!! Ni apple mackbook x os (rangi nyeupe) ilinunuliwa miaka mitatu iliyopitia kwenye mtandao wa amazon us$ 700...
0 Reactions
41 Replies
3K Views
1.Ujazo-Kg 5. 2.Umenyaji dakika 5-8. 3.Maji yanahitajika kwa mkupuo mmoja Lt 3. 4.Wastani wa Kg 150 kwa saa. 5.Umeme wa kawaida single phase. volt 220-240 hospower 1 Walt 1,500 au 1.5KW...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Nauza kiwanja 20×20 kipo Kiluvya kilomita 1 kutoka lami kuu karibu na zahanati ya Kiluvya na shule ya sekondari bei yake milioni 3.5 mazungumzo yapo Mawasilian
0 Reactions
4 Replies
804 Views
PAUA NA FUNDI MACLEAN huduma Atoazo kwa wateja wetu. -ushauri wa uchaguzi wa bati -Kukatiwa bati kwa vipimo vya paa lako -Kupaua paa (kwa makubaliano wa bei) -Tathimini na upimaji wa...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wadau naomba kujua bei elekezi ya kiwanja kizuri kisicho jamaa maji maeneo ya ununio. Ukubwa kuanzia square meter 2000
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Poll Poll
Includes: 8.5" x 11" PROformance™ DD submersible searchcoil, that you may use in streams, water, ponds, it is water proof Premium volume-control land headphones (waterproof headphones sold...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Habari zenu wakuu, kama kichwa cha habari hapo juu kinavyojieleza nahitaji msaada wa mtu yeyote anayejua shirika au kampuni binafsi hapa Tanzania ambapo naweza kupata METAL DETECTOR / GOLD METAL...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Nauza Printer aina ya HP 2050 (Colored) Imetumika miezi 6 tu na haina tatizo ispokuwa haina Wino tu. Bei - 250,000/= Warrant - 1year Nipo Kurasini DSM. Simu - 0757347907 "Karibuni sana"...
0 Reactions
1 Replies
690 Views
Nipo Dsm, kwa atakae hitaji nitafute namb hii >>0693289203
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nimejaribu kuuza kwa njia ya mnada kupitia hii link Samsung galaxy mega GT-I9200 kwa kiasi chochote cha pesa ulicho nacho!! ila naona watu wanaogopa kutaja dau zao, na waliotaja kama hawapo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Haya sasa baada ya kupotea kwa muda mreefu ndugu zangu, simu mpya kabisa (Brand new) bei chee Unaletewa mpaka ulipo kwa DSM Tuwasiliane +255629637060
0 Reactions
8 Replies
995 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…