Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu habari za leo. Nahitaji kiwanja chenye hati na kinachomilikiwa kihalali. Maeneo yawe ni Mbezi Beach au Africana au Goba. Anayeuza tafadhali anitajie bei kabisa PM ili kurahisisha maamuzi ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Asalaam aleikhum ndugu zangu wa jukwaa hili mahsusi, matumaini yangu kuwa ni wazima wa afya na mnaendelea na gurudumu la kusukuma Maisha. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kiwanja...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wakuu..? Nahitaji dalali ama mnunuzi wa mahindi kwa maeneo ya dar na maeneo jirani. Ni pm nitakujibuji faster
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba mwenye kioo/display ya Samsung S5 aje tufanye biashara.. Karubuni Pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kama mzigo unao na bado una hali nzuri niuzie kwa bei nafuu Nipo dar
0 Reactions
8 Replies
3K Views
1977 Toyota Stout ipo kwenye hali nzuri sana, roho ya paka, engine ni standard, inabeba gunia 35 za mahindi bila wasiwasi, linafaa kwa mkulima hodari au mfanya biashara wa mazao. 0717 200 575...
0 Reactions
27 Replies
15K Views
Kwema ndugu zangu. Naomba kupata update za wapi nitapata muuzaji wa jumla.wa mayai ya kisasa. Nahitaji kuingia kwenye hiyo biashara. Napatikana tabata. Thank u
0 Reactions
0 Replies
3K Views
JMK ROYAL SERVICES AGENT NO A-002 WA SUN SHARE.Wanakuuzia bati kwa price list ya kiwanda. ............................................................... Mabati ya msouth(IT5),(Migongo mipana)...
2 Reactions
3 Replies
6K Views
Friji kubwa aina ya samsung inauzwa kwa bei ya Tsh. 500,000. Inafaa kwa matumizi ya nyumbani au biashara, Friji inapatkana Dar es Salaam. Ina partition mbili, juu inapooza na chini inagandisha...
1 Reactions
39 Replies
8K Views
Habarini wakuu Hapa naizungumzia pasi ya nguo philips Maker : Phillips Model name:vintage Model no: 1120/B Manufacture year:1980 Wakuu hii kitu alinunua marehemu baba yangu soon to alipooana na...
10 Reactions
38 Replies
6K Views
Habari naomba nikusaidie namna ya kujiunga na huduma zetu bora kabisa za maxmalipo ni rahisi sana andaa document copy ya vifuatavyo kwa ajili ya mkataba Leseni ya biashara ,2. TIN no 3...
1 Reactions
6 Replies
7K Views
Ngurue walio certified pure large white wanauzwaa kwa being nzuri arushaa. Kwa mawasiliano. Tutafute kuptiaa 0756787474/0743955630. Karibuni pkaa watoto wazuri wenye miez 3 waapatikanaa pkaa.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kwa wale wenye halotel kwa shilingi 7500 unapata gb 12 sms1800 na dakika 175 za kupiga mitandao mingne kwa mwez mzma kama unaitajiii ni chekii karibuni Update: Offer kwa leo tarehe 14 imeisha...
10 Reactions
178 Replies
18K Views
Habari wadau, Niko nafanya mchanganuo wa kufungua Biashara. Ninahitaji mashine zifuatazo: Mashine ya kufua upepo,na mtungi wake inayowaza kujaza matairi ya magari ya kutumia petrol na umeme...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wana jamii naomba niwatambulishe vijana wanaofanya branding ya vifungashio (paper packaging) vya karatasi vya 1Kg, 2Kg,5Kg n.k ili kuongeza thamani ya bidhaa yakounaweza ukacheki nao # 0765858758...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mikoba na nainai kwa bei chee unaletewa ulipo,mikoani pia tunatuma pga 0784427363,Karibuni.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikalibishwa maongezi ya kibiashara na mfanyakazi mmoja wa kampuni ya Lifecase wanauza belt za kupambana na tatizo la kibamia. Akaniambia ninue kwa jumla kwa 35,000/= niuze kwa elfu hamsini...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
bei ya ndoo kubwa na ndogo zile zilizoisha mafuta ni bei gan kwa jumla??
0 Reactions
3 Replies
5K Views
Mambo vp nilikuwa na shida ya vifungashio anaejua WAP ninaweza kuvipata vifungashio vya vyakula mfano kama vile vya diamond Karanga au chipsy snack naomba anijuze au ni kampuni gani ambayo...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Natafuta gari Toyota IST iliyo katika hali nzuri kuanzia namba C au D bajeti yangu 7m
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…