Nahitaji mashine zifuatazo nipe bei

Nahitaji mashine zifuatazo nipe bei

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,346
Reaction score
4,611
Habari wadau,

Niko nafanya mchanganuo wa kufungua Biashara.
Ninahitaji mashine zifuatazo:
  1. Mashine ya kufua upepo,na mtungi wake inayowaza kujaza matairi ya magari ya kutumia petrol na umeme
  2. Welding Mashine
  3. Mashine ya kuoshea magari ya kutumia petrol na umeme
Kwa wanaoelewa bei na zinakopatikana nijuzeni
 
Habari wadau,

Niko nafanya mchanganuo wa kufungua Biashara.
Ninahitaji mashine zifuatazo:
  1. Mashine ya kufua upepo,na mtungi wake inayowaza kujaza matairi ya magari ya kutumia petrol na umeme
  2. Welding Mashine
  3. Mashine ya kuoshea magari ya kutumia petrol na umeme
Kwa wanaoelewa bei na zinakopatikana nijuzeni
Unataka kununua au kujua bei tu
 
Back
Top Bottom