Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Natafuta sehemu ambayo ntaweza ku chapisha vitabu ila iwe kwa bei nafuu. Anayejua aniambie kwa ni bei gan kwa kurasa moja, na nakala ngap wanaanzia? Ipo sehemi gan hapa dar. Tafadhal
1 Reactions
5 Replies
1K Views
kwa sasa utaweza jipatia free internet kwa shilingi 5000/= kwa mwezi ni simpo tu njoo inbox make sure unatumia voda au airtel
0 Reactions
5 Replies
705 Views
HABARI, AFYA NI UTAJIRI. ETERNAL INTERNATIONAL LTD Ni kliniki inayojishughulisha na masuala ya AFYA ya binadamu,ikishughulika zaidi na magonjwa sugu na kuboresha kinga ya mwili. Pia tunatoa...
0 Reactions
2 Replies
913 Views
HI THERE! Kama kawaida method mpya za free internet zinaongezeka sasa nimekuja ni free internet yenye kasi zaidi ya ile ya mwanzo Hii itawafaa sana wale watumiaji wa pc wanaopenda kushusha...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Tafadhali wadau naomba mnisaidie wenye uzoefu na huu mradi napenda kujua mambo ya fuatayo 1:Bei za mashine za Manual 4sreens ikiwa complete 2:Bei ya matishirt kwa jumla jumla..ni bei gan na...
1 Reactions
0 Replies
912 Views
HABARI ZA ASUBUHI, AMKA NASI NA UJENZI. USIKARIBISHE MAJAMBAZI KWENYE UJENZI WAKO, NA WALA USIKATISHE MAJUKUMU MENGINE ETI KISA UNAENDA DUKANI. INGIA KWENYE KOMPYUTA POPOTE ULIPO NA UNUNUE...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wakuu Naomba kujulishwa bei ya jumla ya vocha kwa mitandao ya tigo,halotel na vodacom kwa hapa dsm na sehemu wanaponunulia. Asanteni
0 Reactions
2 Replies
5K Views
hivi vitu kuna mtu anatengeneza! Naomba kujua bei yake na utaratibu kisha tufanye biashara. Nataka kama hizi lakini kwa jina langu.
0 Reactions
4 Replies
862 Views
Habari wakuu,,natafuta mtu anayeweza nifundisha jinsi ya kutengeneza furniture za kisasa ikiwemo royal sofas,coffee tables n.k,,,nimehangaika nimekosa nimeona nilete hapa kwenu wakuu...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
habari zenu wakuu, ninatoa msaada wa cheti cha bima kwa wale wanaotaka kufungua biashara ya wakala wa bima. kwa anehitaji anipm.
0 Reactions
13 Replies
8K Views
New Samsung Note 5 32Gb Full Box Price 550,000 Call 0718028224
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wadau, Naomba kujua kama kuna mtu anayefahamu mtu au kiwanda kinachouza mifuko migumu ya karatasi (kama ile inayotumika kufungashia cement). Natanguliza shukrani.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nauza simu tajwa hapo juu. Simu hii imetumika miezi 3 tu. Simu hii inatatizo, imepasuka kioo, lakini kioo kimeshanunuliwa hivyo ukinunua simu unapewa na kioo ukabadilishe kwa fundi...
0 Reactions
2 Replies
772 Views
Ndg Eneo Linauzwa Lipo Kinyerezi Kifuru Mtaa wa Hali ya Hewa Ukubwa wa Eneo 35*25 Lina Hati Miliki na Pia lina nyumba amabayo aijamalizika Eneo halina Mgogoro Bei Milion 17 Mawasiliano...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
350000/= tuu Nisms pm ukiitaji kitu Kati ya hivi NB: Simu zote ntakupa na zawadi ya glass protecta bureee (glass protecta included)
0 Reactions
40 Replies
14K Views
Wapendwa nauza nguo za watoto nzuri jumla zipo chache nilikuwa nauza sasa naondoka Tz kwa atakae hitaji..serious buyer only nichek whatsaap 0716973403 kwa picha za nguo
1 Reactions
1 Replies
2K Views
INFINIX NOTE 3 [emoji819] Dual Sim [emoji819]Storage 16 gb [emoji819]Ram 2gb [emoji819]Android 6.0 [emoji819] Fingerprint [emoji819]13mp Rear Camera [emoji819]5mp Front camera [emoji819]Display...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari waungwana. Kwa mara nyingine napandisha Uzi kuomba MSAADA wa kujua gharama Za vifaa vya Saloon n.a wapi naeza pata. NAHTAJI vioo viwili, machine Mbili na stabilizer. NAHTAJI MSAADA wenu...
0 Reactions
3 Replies
884 Views
HadithiZetu - Android Apps on Google Play
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Back
Top Bottom