Hii simu nimeinunua mpya hata wiki mbili hazijaisha ila nmepata emergence I need the cash.<br />Ipo kwenye very good condition, Kila kitu chake kipo mpaka warrant seal. Napatikana Dar es Salaam...
Nauza kiwanja changu chenye ukubwa kama ifuatavyo;
urefu hatua 30 * upana hatua 20.
Kiwanja hiki kiko mita 200 kutoka barabara kuu, na kipo eneo zuri kwa makazi na biashara.Kina msingi wa nyumba...
Karibu kwa mkazi wa Mbeya kuwafariji watoto yatima Katika kituo cha watoto yatima IWAMBI Mbeya ni siku ya jumamosi ya tarehe 10/02/2018 na wewe ulieko nje ya Mbeya, unaweza kwenda Katika kituo...
KIWANJA CHA KWANZA KIPO ENEO LA CHUO CHA MIPANGO DODOMA
*UKUBWA. 25*20
*BEI..... 8MIL
*UHALALI.. HATI ZIPO
KIWANJA CHA PILI KIPO ENEO LA CHUO CHA MIPANGO DODOMA
*UKUBWA ....35*30
*BEI...
Habari wanaharakati wa JF,
tunapenda kuwatangazia wateja wetu ambao wanapenda kuchora tattoo inayo futika ( elimination tattoo ) na isiyofutika ( permanent tattoo ) tunachora vizuri na kwa ubora...
Hivi zile mashine za iceing sugar zinauzwa wapi kwa hapa Dar es salaam na wanauzaje? nina shida nazo wakuu na je unga wa iceing sugar mnanunuaga wapi na unauzwaje? Kwa hapa Dar maana leo...
Computer/Laptop Yako inasumbua?
Wasiliana na team nzima ya JIMZ Technologies Co. Ltd wakutengenezee computer/laptop yako Sasa! S
Tunapatikana Kituo cha Msamvu, Morogoro. Tupigie Sasa kwa...
Wasaalam wanabod, nnaomba kwa mwenye mawaziliano/ namba za simu za kampuni ya usafirishaj mizigo kutoka au kupitia Nyakanazi kwenda Dar es salaam anisaidie. Natanguliza shkrani
Habari ndugu wana jamii..
Kuna viwanja vinatangazwa sana Huko kigambini Mwasonga.. Kama unaelekea Dar Zoo
Bei wanasema ni 2500/ = kwa sqm..
Yaan 20*30 ambayo ni 600sqm wanauza kwa 1.5milion...
Habari yenu wana jamvi.
Napenda kuitambulisha kwenu huduma ya "delivery" itolewayo na P2P Delivery Services. Kama umenunua bidhaa iwe ni nguo, mafuta, viatu, vipodozi na kadhalika na hauna muda wa...
Hii simu nimeinunua mpya hata wiki mbili hazijaisha ila nmepata emergence I need the cash.
Ipo kwenye very good condition, Kila kitu chake kipo mpaka warrant seal. Napatikana Dar es Salaam, kama...
Noah iliyotunzwa vizuri inauzwa kwa bei nzuri,nyaraka za umiliki zote zipo.
AINA YA GARI:Toyota noah
LOCATION; Dar es salaam
REG NO; T 764 CTF
BEI; 11.7million (Maongezi yapo)
MAWASILIANO; 0719308160
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.