Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Tunahitaji Laptop zitakazo saidia kuendesha workshop Dar es salaam, ziwe katika hali nzuri HP na Dell zisiwe feki na speed nzuri sana, hakikisha ina antivirus. tutazitumia kwa siku 20 tutalipa sh...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tunauza scientific calculator FX-991 MS kwa shilingi elfu kumi na tano tu. Huna haja ya kwenda kwa wahindi wakuuzie calculator hii hii kwa elfu ishirini na tano au elfu thelathini. Hiyo ni bei...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
This is a used iphone; in good working condition. All its accessories are in its original box Price: Tsh. 1,100,000/= From Dodoma Urban. Shipping quote will depend the buyer’s shipping type...
0 Reactions
2 Replies
679 Views
Habari, Jipatie mashine mpya ya kibiashara kwa ajili ya juice natural. Mashine inakamua na kuchuja yenywewe bila ya kueka maji yaani 100% natural juice Inanguvu 550W Imetengenzwa kwa stainless...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari ndugu, Kama unawaza kujenga ya makazi yako ya kudumu anza kununua kiwanja kwanza. Na kama unawaza kufanya uwekezaji wa kudumu anza kuwekeza kwa kununua kiwanja kwanza. Hakika...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Hello Wana JF natumaini mnaendelea vizuri Kwa uwezo wake muumba Wetu aliye mkuu, Nina Toyota Noah Voxy Nauza iko Arusha mjini .Bei yake Ni 8milion iko safi haijawahi kupata ajali ,mwenye kuhitaji...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari wana-JF, Ninahitaji vifaranga wa kuku wa kienyeji aina ya kuroiler F1. Kuna watu wamekuwa wakiuza kuku hao lakini si wale F1 bali wamekuwa ni mzao wa mbali sana kiasi cha kupoteza ile...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Call/txt/WhatsApp 0765961152
0 Reactions
0 Replies
470 Views
Habari za wakati huu wanajanvi. Nimekuwa mwenye shauku ya kutaka kujua jinsi ya kutengeneza shower gel. Mwenye elimu jinsi ya utengenezaji wa shower gel, nipe maelekezo.
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Colour:Black Size:5.5inches Internal capacity:16 GB Ram:1Gb Primary camera:8mp Secondary camera:1.2mp Price:900000/=
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Jipatie kwa bei Chee 70,000 Mobile wifi router Inachapakazi mitandao yote Ni nzima aijawai kuwa na tatizo
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mambo vipi wadau nauza simu yangu Huawei p8 lite, Bei TSH 180000 Specifications Condition mzuri na haina tatizo, nauza coz ninashida na pesa, Double line Camera iko poa front and rear GB 16...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Haidaiwi kibali chochote. 6 Cylinder Gari tajwa hapo juu ni nzima haijawahi funguliwa injini. Taa za mbele nzima na nyuma ni kubadilisha sababu ni za muda mrefu. Inahitijika kuchomelewa kidogo...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Jamani nina shida na huyo mtaalam,naomba mawasiliano
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Date listed 13/11/2017 DESCRIPTIONS: Wakuu nimeamua kufanya edit kidogo kwenye tangazo hili. Bei imepungua kidogo N.b nyumba ni ya kisasa kabisa na ni finished. Nawakaribisha wote wahitaji...
1 Reactions
51 Replies
6K Views
Habari wana JF Ninauza asali mbichi, Jumla na rejareja Asali haijachakachuliwa yaani haijaongezwa chochote Nauza kuanzia ujazo wa robo Lita hadi Lita 20 Robo Lita Tsh 3000 Nusu Lita Tsh 6000...
1 Reactions
0 Replies
804 Views
Habari, Mimi ni mwajiriwa kwenye company fulani ya muhindi na kipato changu ni Tsh si chini ya 500,000/=(take home) Nataka kukopa mojawapo ya gari hizi suzuki jimny wide au escudo ile ya zamani...
4 Reactions
85 Replies
20K Views
Heshima kwenu wakuu. Natumai mnaendelea vyema kabisa. Bila ya kupoteza muda naomba niende moja kwa moja kwenye mada husika hapo juu wakuu. Well, Kama mada inavyosema ningependa kufahamishwa ni...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Gage30 sh 20,000 kwa pc sh. 6,800/mita Gage28 sh. 26,500 kwa pc sh.9,000/mita Gage 32 sh. 15,500 kwa pc Vessal sh. 10,500 kwa mita Lugoba sh. 10,500 kwa mita Misumari(rangi) sh. 9,000 kwa...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…