Toyota Noah Voxy inauza .

Mavindozii

JF-Expert Member
Oct 20, 2012
2,111
2,760
ac2d8d72b419119e0fdf681f455510ba.jpg
a0496a9517ebf71d49399d50eba6a5b5.jpg
745b07552933b71651387305585ff43d.jpg
5d704b48c407c3f4e4f2f8b96632f668.jpg
2d5e8b1d4c23c40e24ddf952ed850437.jpg
Hello Wana JF natumaini mnaendelea vizuri Kwa uwezo wake muumba Wetu aliye mkuu, Nina Toyota Noah Voxy Nauza iko Arusha mjini .Bei yake Ni 8milion iko safi haijawahi kupata ajali ,mwenye kuhitaji please PM
18c8f6907422d557119d7f7166a9dc58.jpg
 
Usidanganye watu. Hilo gari haliwezi kuwa Toyota Noah Voxy kwa wakati mmoja. Ni Noah au ni Voxy basi
 
Hii ni number gani boss, mana hiyo chuma bei ya kuagiza mupya kabisa hapa kwa baba j ni kuanzia 10-12m hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom