Laptop 4 za kukodi zahitajika sasa hivi

Laptop 4 za kukodi zahitajika sasa hivi

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,473
Reaction score
4,007
Tunahitaji Laptop zitakazo saidia kuendesha workshop Dar es salaam, ziwe katika hali nzuri HP na Dell zisiwe feki na speed nzuri sana, hakikisha ina antivirus. tutazitumia kwa siku 20 tutalipa sh 5,500 kwa kila siku kwa kila laptop moja. hazitatumika kila siku ila makadirio ni siku 20 tu. kama unazo ni pm leo hii kabla ya 4pm
 
Mhhh..Mnaweka sh ngapi kama bondi in case mkisepa nayo?Mimi mnanipa laki tano after hizo siku nawarudishia 390K mnanipa Pavilion DV6 yangu
 
ofisi ndio inachukua mnasainiana mkatabana ofisi endapo itapotea watalipa sio mtu binafsi.
Mhhh..Mnaweka sh ngapi kama bondi in case mkisepa nayo?Mimi mnanipa laki tano after hizo siku nawarudishia 390K mnanipa Pavilion DV6 yangu
 
Tunahitaji Laptop zitakazo saidia kuendesha workshop Dar es salaam, ziwe katika hali nzuri HP na Dell zisiwe feki na speed nzuri sana, hakikisha ina antivirus. tutazitumia kwa siku 20 tutalipa sh 5,500 kwa kila siku kwa kila laptop moja. hazitatumika kila siku ila makadirio ni siku 20 tu. kama unazo ni pm leo hii kabla ya 4pm
one good laptop costs more than 500k.... so unakodi then mie mwenye laptop nakaa mlangoni then ukimaliza unanirudishia au unakodi kwa siku 20....so unalipa 20x5500=110,000/? sijaelewa au kuna security fee
 
Duuh!!! hili swala geni tz
Na vip mkiichakaza na mamikwaruzo!!
Kuazimisha laptop ni sawa na kumuazmisha mtu smartphone, inaaumaje, hadi unakosa amani
 
ofis gani hyo inayoshindwa kununua laptopa 4 ?
Nafikiri wamepiga mahesabu wameona hakuna haja ya kuingia gharama kubwa kununua malaptop manne kwa ishu ya siku chache tu kwa hiyo ndo mana wameona bora kukodi.
 
Back
Top Bottom