Original na fake

Original na fake

Mbunifu 11

Senior Member
Joined
Mar 20, 2015
Posts
104
Reaction score
52
Wakuu salama,
Hivi unaweza kutofautisha vipi kati ya simu samsung original na fake?
 
Kitu cha kwanza ile home button ukiicheki utaona ipo flat yaan haijatokeza juu ya kioo. Kitu cha pili ukicheki kwenye kingo za screen kulia na kushoto;
(1)original inakuwa na distance ndogo kabisa ukingoni
(2)fake inakuwa na distance kubwa like 4mm
 
Pendelea kuomba simu og kwa watu mara kwa mara uone zinafananaje,siku ukishika clone tu utashtuka.

Mfano mimi kwa feature za mwanzo tu huwa najua kwa,

Uzito,ukubwa-simu OG mara zote zinapiwa ukubwa na uzito na fake za aina yake.

Ubora wa kioo-simu fake kioo nirangi ya maji ya mchele hakiwezi kung'aa kabisa.

Unadhifu-hapa lazima uwe makini,kwenye simu OG kila kitu kimewekwa kikapangika kama ni maandishi ya samsung yako safi,button zinavutia sana.
 
Simple tu weka alama hizi *#0*# itafunguka vitu vingi kwanza kuna test za rangi, nenda kwenye vibration ukiona inavibrate continuously ujue hiyo ni halisi, ukiona inakata baada ya mtetemo (vipindi vipindi) hiyo fake, yapo mengi hapo utayajua ukifungua ukurasa huo kwa alama hizo
 
Shukrani wakuu, ila kariakoo pagumu sn kununua simu, nilishawahi kuingizwa mkenge.
 
Simple tu weka alama hizi *#0*# itafunguka vitu vingi kwanza kuna test za rangi, nenda kwenye vibration ukiona inavibrate continuously ujue hiyo ni halisi, ukiona inakata baada ya mtetemo (vipindi vipindi) hiyo fake, yapo mengi hapo utayajua ukifungua ukurasa huo kwa alama hizo
thumb up bro
 
Simple tu weka alama hizi *#0*# itafunguka vitu vingi kwanza kuna test za rangi, nenda kwenye vibration ukiona inavibrate continuously ujue hiyo ni halisi, ukiona inakata baada ya mtetemo (vipindi vipindi) hiyo fake, yapo mengi hapo utayajua ukifungua ukurasa huo kwa alama hizo
Hii asithubutu kabisa. Siku hizi kuna copy zinatoa mpaka kimbwa
 
Wakuu salama,
Hivi unaweza kutofautisha vipi kati ya simu samsung original na fake?
Ingia google. Andika imei info. Ingia kwenye website yao. Utaona sehemu ambayo inatakiwa uingize imei.

Jinsi ya kupata imei bonyeza *#06# kwenye simu husika. Hizo namba zitakazotokea ingiza huko kwenye hiyo website.

Utaletewa info za hiyo simu husika
 
Simple tu weka alama hizi *#0*# itafunguka vitu vingi kwanza kuna test za rangi, nenda kwenye vibration ukiona inavibrate continuously ujue hiyo ni halisi, ukiona inakata baada ya mtetemo (vipindi vipindi) hiyo fake, yapo mengi hapo utayajua ukifungua ukurasa huo kwa alama hizo
Mkuu! ahsante kwa huo ufahamu ila naona kutofautisha fake na og ni ngumu sana labda uwe umezoea kushika og, lakn kwa vigezo ulivoweka sidhani, simu niliyonayo naiona ni fake lkn kwa kuweka hizo *#0*# inavibrate vizuri tuu kama ulivoelekeza. kingine labda, iweje cm mpya itoke china iuzwe lak 5 na simu hiyohiyo kwa kiasi hicho kwa ulaya unapata used,mpya kama hiyo ni milion na zaidi.
 
Mkuu! ahsante kwa huo ufahamu ila naona kutofautisha fake na og ni ngumu sana labda uwe umezoea kushika og, lakn kwa vigezo ulivoweka sidhani, simu niliyonayo naiona ni fake lkn kwa kuweka hizo *#0*# inavibrate vizuri tuu kama ulivoelekeza. kingine labda, iweje cm mpya itoke china iuzwe lak 5 na simu hiyohiyo kwa kiasi hicho kwa ulaya unapata used,mpya kama hiyo ni milion na zaidi.
Hilo ni jepesi Original haimaanishi bei, kuna kitu kinaitwa Standard ,hii kila upande wa dunia una standard zake, European Standard, Asia Standards etc hivyo mazingira hayo hupelekea hata pricing kutofautiana kati ya soko na soko, nitolee mfano camera canon mark iii Uk inauzwa pounds 2000 lakini US inauzwa dollar 3000 lakini ukifanya exchange hapo unakuta kununua marekani ni cheaper than Uk, vivyo hivyo nikinunua south Afrika pia bei tofauti, so kikubwa hiyo ndiyo njia ya testing kwanza kama unaona kwa jicho pekee sijui
 
Back
Top Bottom