Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,789
Habari naomba kufahamishwa bei digital camera mega pixel 16 canon au aina nyingine bora zaidi nahitaji kwa matumizi yangu y kawaida thanx.
Habari. naomba kufahamishwa bei digital camera mega pixel 16 canon au aina nyingine bora zaidi nahitaji kwa matumizi yangu y kawaida. Thanx.[/QUO
UKIHITAJI CANON EOS 10MEGAPIXEL PIGA SIMU 0712652110 TSH 550000
Hiyo Canon EOS 10 MP ni model gani?Habari. naomba kufahamishwa bei digital camera mega pixel 16 canon au aina nyingine bora zaidi nahitaji kwa matumizi yangu y kawaida. Thanx.[/QUO
UKIHITAJI CANON EOS 10MEGAPIXEL PIGA SIMU 0712652110 TSH 550000
habari. Naomba kufahamishwa bei digital camera mega pixel 16 canon au aina nyingine bora zaidi nahitaji kwa matumizi yangu y kawaida. Thanx.
Digital Camera za 16 mp zina range kuanzia 380,000 hadi 2million na zaidi kutegemea na aina, zoom, ubora n.k. labda useme we bajeti yako ni shing ngapi. Mi nna Sony Cybershot 16.1m.p mpya nimeiagiza from Japan inafanya kazi vizuri sana ila nimeshindwa kubadilisha language to English. Kama utaweza kupambana nayo ntakuuzia 250,000/-
Na mimi ninayo Canon 400D na lens yake,bei nzuri tu
Mkuu uko wapi tuongee biasharaNaendeleza thread,nami nimeagizwa kamera ya matumizi ya nyumbani,sister wangu ana 200,000 wadau anaweza pata?