African enterpreneurship award ni shindano kwa ajili ya Wajasiliamali na wabunifu wa Kiafrika ambao wana mawazo na/au biashara ambazo ni za ubunifu na zina uwezekano wa kunufaisha watu wa bara la...
Nahitaji home thieter iwe Very known Brand Eg. Samsung, LG, Sony, Philips na Nyingine.
Njoo na Specifications kama Power (Wattage), Technology used, Files format compatibility, Cabling na vingine...
Nauza Simu aina ya tecno c8 Simu haina tatizo lolote na simu imetumika kwa miezi sita tu simu ina uwezo mzuri sana katika utendaji kazi so hautajutia kuinunua na ukiitumia ukagundua tatizo...
Nauza kiwanja kwa bei ya kutupwa milioni 6 kina ukubwa wa hatua za miguu 20 kwa 23 hakuna udalali mim ndo mmiliki wa icho kiwanja kipo mbezi msumi jirani na shule ya sekondari mbopo
Nataka kubadilisha hii nchi 24 nichukue kubwa
Singsung nchi 24
Nakupa na stand kama zawadi
Bei ni laki mbili na 50
Haipungui kwakua sina njaa
0717184353
Hello.. Mimi ni mwanasayansi na mwanatechnolojia wa Vyakula. Napenda kuwataarifu walewote wanaoshumbuliwa na magonjwa yatokanayo na vyakula mfano.
KITAMBI,
NYAMA ZEMBE,
KWASHAKOO, UTAPIA MLO...
Habari wanajukwaa
nahitaj tray 200 za mayai ya kuku wa kisasa kesho.
kama unayo tafadhali ni pm tufanye biashara
nimepata mteja ila stock yangu haijaweza kukidhi mahitaji yake.
Nahitaj mfugaji...
Salama Wakuu
Nahitaji viti used (vya plastic/ mbao/ makochi), meza used (za plastic/ mbao) na magorodoro (Used) Arusha. Kama unayo, njoo inbox tufanye biashara.
Shukrani.
Za humu ndani?
Nina wazo la Biashara ambapo mtaji wake si chini ya milioni 10.
Wazo linahusu Biashara ya kutumia intaneti.kama kuna MTU anaweza kuwekeza naomba ani PM tuongee.au
kama MTU...