Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

African enterpreneurship award ni shindano kwa ajili ya Wajasiliamali na wabunifu wa Kiafrika ambao wana mawazo na/au biashara ambazo ni za ubunifu na zina uwezekano wa kunufaisha watu wa bara la...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nahitaji home thieter iwe Very known Brand Eg. Samsung, LG, Sony, Philips na Nyingine. Njoo na Specifications kama Power (Wattage), Technology used, Files format compatibility, Cabling na vingine...
0 Reactions
5 Replies
824 Views
Sungura wanauzwa wapo salasala. Ni pm kama unahitaji karbuni sana bei ni maelewano.
0 Reactions
2 Replies
821 Views
Model lenovo G50 - 30 Memory 2gb ram 300 hdd Processor 2.16Ghz Display 15.6" Price 450k negotiatable Used but in good condition, battery life 5hrs
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu heshima zenu Msaada wenu WA mawazo, Nina 2.5m, ambayo sijui nifanyeje, nahisi nitaitumia bila mpango. Niiwekezeje, Ila isiwe Kiwanja, wala kuanza ujenzi, Ila irudishe chochote Asanteni
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nauza Simu aina ya tecno c8 Simu haina tatizo lolote na simu imetumika kwa miezi sita tu simu ina uwezo mzuri sana katika utendaji kazi so hautajutia kuinunua na ukiitumia ukagundua tatizo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Iwe min au size yeyote Iwe katika hali nzuri Iwe na uwezo wa kukaa na chaji kwa mda mrefu. Niko Dar Core 3 au zaidi
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Je! Umeshaijaribu app ya Tala? Hii ni njia bora ya kupata mkopo wa papo hapo! Tumia namba ya mualiko KCW8XL. Pata mkopo sasa: http://inv.re/79pcu
1 Reactions
0 Replies
718 Views
Shamba linapatikana eneo la nyamwilolelwa njia ya kwenda buswelu na lina ukubwa wa ekari moja.bei milioni 2 maongezi yapo. Mawasiliano +255765540059
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nauza kiwanja kwa bei ya kutupwa milioni 6 kina ukubwa wa hatua za miguu 20 kwa 23 hakuna udalali mim ndo mmiliki wa icho kiwanja kipo mbezi msumi jirani na shule ya sekondari mbopo
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Nataka kubadilisha hii nchi 24 nichukue kubwa Singsung nchi 24 Nakupa na stand kama zawadi Bei ni laki mbili na 50 Haipungui kwakua sina njaa 0717184353
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Hello.. Mimi ni mwanasayansi na mwanatechnolojia wa Vyakula. Napenda kuwataarifu walewote wanaoshumbuliwa na magonjwa yatokanayo na vyakula mfano. KITAMBI, NYAMA ZEMBE, KWASHAKOO, UTAPIA MLO...
0 Reactions
1 Replies
710 Views
Habari wadau nahitaji tecno W3 au W4 used Budget ni 75000 kama unayo njoo pm
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Imeshanunuliwa. Mods ninaomba mniondolee huu uzi.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wanajukwaa nahitaj tray 200 za mayai ya kuku wa kisasa kesho. kama unayo tafadhali ni pm tufanye biashara nimepata mteja ila stock yangu haijaweza kukidhi mahitaji yake. Nahitaj mfugaji...
0 Reactions
3 Replies
985 Views
Mafuta ya t444z ni mazuri kwa kuotesha kukuza na kurefusha nywele kuzuia mbaa muwasho na,nywele kukatika
0 Reactions
24 Replies
12K Views
Hi, Kama kuna mtu anafahamu watu/kampuni ya kuchimba visima vya maji... 1. Process ikoje? - survey - Bei? 2. kuchimba - Bei? Eneo liko mbezi luis
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Natafuta chumba na sebule Arusha USA river naomba kwa anaefahamu kilipo au anaefahamu dalali yeyote maeneo hayo pliz anisaidie,naomba kuwasilisha
0 Reactions
0 Replies
722 Views
Salama Wakuu Nahitaji viti used (vya plastic/ mbao/ makochi), meza used (za plastic/ mbao) na magorodoro (Used) Arusha. Kama unayo, njoo inbox tufanye biashara. Shukrani.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Za humu ndani? Nina wazo la Biashara ambapo mtaji wake si chini ya milioni 10. Wazo linahusu Biashara ya kutumia intaneti.kama kuna MTU anaweza kuwekeza naomba ani PM tuongee.au kama MTU...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…