Je unahitaji mafundi bora na waaminifu katika kujenga nyumba yako kwa bei nafuu? Nzuguni Builders Group tunatoa huduma ya kukujengea nyumba, kufanya finishing zote, kukukadiria gharama za ujenzi...
Seagate external, 3Terabyte.
Ilinunuliwa mwishoni mwa mwaka jana, imetumika mara moja tu so condition yake ni excellent.
Ina charger na USB yake. Bei 280k
Kama uko interested call or text 0652640205
Kwa bei nafuu tuna design blog na kuweka template nzuri bei zinaanzia tsh 20000_45000
Wasap 0758217840
Au. 0716634548
Pia tunafundisha blogging kwa bei nafuu
*BRAND NEW ANDROID USB CABLES IN TOWN*
Kwasasa mzigo unapatikana DAR ES SALAAM, ARUSHA, MOSHI NA DODOMA kwa shilingi 5500 tu.
Call 0753063142, 0687418839, 0653316087
Whatsapp 0687418839
Ni shule ya mseto inamilikiwa na kanisa katoliki jimbo la Musoma,tunazo kumbinations za PCM,CBG,HGL NA PCB.SHULE IKO UMBALI WA KM 16 KUTOKA MUSOMA MJINI.INA HUDUMA ZA HOSTELI,UMEME NA MAJI.KWA...
Wakuu anayehitaji vifaranga vya kuku aina ya Rainbows kutoka Uganda. Kifaranga cha siku moja ni sh 2,500/- na cha mwezi mmoja ni 6,000/-.
Sifa za Rainbows.
1. Wanaanza kutaga wakiwa na miezi 4
2...
Kwa mafundi wa Friji na yeyote mwnye Uhitaji, Ninauza Machine ya friji (compresor na vifaa vyake vyote)
Bidhaa hii ipo kwenye hali nzuri kama Friji lako liliharibika machine yake basi jipatie hii...
Amani kwenu wadau,
Kuna subwoofer aina ya rising na king'amuzi cha star times zipo sokoni anayehitaji anichek pm au mawasiliano 0754669580.
Location: tabata dsm
Subwoofer ina blueooth, aux, fm...
Mzigo wa mtumba First Grade
Zipo HP, Dell, toshiba, lenevo
HP Elite book
HDD 500GB
Core (R) 2 Due
Ram 4GB
Bei 360,000/=
****************
DELL
Core I5
HDD 320
Ram 4GB
Bei 400,000/=
Zipo katika...
Tunakopesha na kuuza sola za manyumani kwa ajili ya kuwasha taa Tv redio ya boom box mashine za kunyolea kwa bei rahisi zaidi kutoka ZOLA nipigie 0654609122 waranty ni miaka 5
Wadau natanguliza shukrani zangu
Nipo Moshi na ninaitaji shamba lenye ukubwa wa hekari 20 za kununua na shamba ilo liwe na maji na lisiwe porini sana
Kwa mwenye kufahamu namkaribisha kwa ajili ya...
Sehemu ni vijibweni...apartment haijawahi kukaliwa ni mpya ujenzi wake umekamilika....
Apartment hiyo Ina master bedroom1,Ina room ya Kawaida,public toilet n'a bafu,jiko,sitting room....Ina...