Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 819
- 908
Ni shule ya mseto inamilikiwa na kanisa katoliki jimbo la Musoma,tunazo kumbinations za PCM,CBG,HGL NA PCB.SHULE IKO UMBALI WA KM 16 KUTOKA MUSOMA MJINI.INA HUDUMA ZA HOSTELI,UMEME NA MAJI.KWA MWAKA HUU 2018 NDO TUNATOA WANAFUNZI WA KWANZA FORM SIX,KARIBU KWA AJILI YA KUJIUNGA FORM FIVE-2018,JULY.KWA MAWASILIANO ZAIDI TUPIGIE 0789443404 /0762364740