Nahitaji mkopo wa 100,000 unahitajika .

Nahitaji mkopo wa 100,000 unahitajika .

frank mayige

Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
61
Reaction score
11
Wadau watoa mikopo kwa riba nafuu naomba mkopo tajwa hapo juu nimepata tatizo la ghafla marejesho ni mwisho wa mwezi huu yaani tarehe 30/5/2018, napatikana dar.
 
Kizuri chako kinakuokoa wakati wa shida

Huna cha kuweka dhamana tuangalie tunafanyaje
 
Wadau watoa mikopo kwa riba nafuu naomba mkopo tajwa hapo juu nimepata tatizo la ghafla marejesho ni mwisho wa mwezi huu yaani tarehe 30/5/2018, napatikana dar.
Utalipa 150000 na bondi uweke kitu chenye thamani hyo.Nichek 0654865376
 
Back
Top Bottom