M Manosa JF-Expert Member Apr 20, 2012 4,510 3,589 May 10, 2018 #1 Rejea somo Natafuta shamba kwa ajli ya kilimo cha mpunga Liwe wilaya ya kakonko,chato au kibondo Liwe karibu na chanzo cha maji cha uwakika maana nataka lima misimu 2 Ekari 100 au zaidi Waweza ni dm humu humu JF
Rejea somo Natafuta shamba kwa ajli ya kilimo cha mpunga Liwe wilaya ya kakonko,chato au kibondo Liwe karibu na chanzo cha maji cha uwakika maana nataka lima misimu 2 Ekari 100 au zaidi Waweza ni dm humu humu JF