Natafuta shamba la mpunga

Manosa

JF-Expert Member
Apr 20, 2012
4,510
3,589
Rejea somo
Natafuta shamba kwa ajli ya kilimo cha mpunga
Liwe wilaya ya kakonko,chato au kibondo

Liwe karibu na chanzo cha maji cha uwakika maana nataka lima misimu 2

Ekari 100 au zaidi

Waweza ni dm humu humu JF
 
Back
Top Bottom