Yaani umeninyima hivihiviNinahitaji t.shirt 3000 cotton na huduma ya kuziprint, hivyo mnaohusika na huduma za aina hii naomba tuwasiliane pm.
Updates:
Nashukuru nishapata.
Kwa namba gani?Hahahaaa!! Akili haikunijia kabla baby, alafu huwezi amini mtu kaona hili tangazo akanipigia fasta.
Sasa tukikaa wote si kazi yetu itakuwa kucheka?Sijuagi kununa[emoji23]