Smartphones za kisasa kwa bei pouwa bado zinapatikana kwangu mzee wa kuvunja bei.
Bei zangu ni pouwa mpaka utafurahi, Kwa maelezo zaidi nipigie, nitext au ni whatsapp kupituia # 0654776976...
*Samsung Galaxy S7*
*32gb storage*
*4gb ram.*
*Simu bado mpya unapata na accessories zote.*
*Bei TSH.500,000. Nicheki kwa 0625612638 au 0677888412*
*Location: Dar Es Salaam*
Nauza vifaa vya Acer kutoka kwenye laptop yangu..
Bei maelewano..
Kuanzia kioo, Ac,hard disc(500GB),Ram na vinginevyo..
Location:Dar es salaam
Mawasaliano:0718274828
Nataka nianze biashara ya kuosha pikipiki na magari ila target kuu ni pikipiki kutokana na location ya biashara.
Naomba kujua pressure washer machine ipi ni nzuri(brand) na bei yake pia...
TANGAZO LA BIASHARA: UJUMBE MAALUM KWA WANAOWEKEZA KWENYE ELIMU
Mmiliki wa Shule ya Sekondari ya NDAGARA yenye usajili S.1901 (2006) anatafuta mwekezaji wa kuinedesha. Shule ina kidato cha 1-IV...
Habarini wana JF,
Nina mpango wa kufungua min supermarket hapa Dar sasa nilikuwa naomba kuuliza wapi naweza kwenda kupata bidhaa ambazo wengi wenye supermarkets wanaenda kuchukua na inakuwaje...
Nasafiri kwenda nje ya nchi kwa masomo zaidi nilikua nafanya business hii ya mpesa/tigopesa/airtelmoney.
Natafuta mtu wa kumuuzia line zangu kwa bei ya laki moja kila line. Utapata na document...
Kwa mahitaji ya huduma za grapgics, website design na Video shooting wasiliana nasi
Simu: 0656917171
website: www.believetech.co.tz
Tazama baadhi ya kazi zetu kwenye website yetu na usisite...
Natafuta simu 1 Kati ya hizi either nokia e52 or e55 yenye kila kitu( earphone,charger,USB cable na if possible cd yake). Na kama ipo napata kwa sh. Ngapi?uki ni pm itakua jambo la kheri.
Madela ya mtumba na mitandio yake kwa shi 10000 tu kwa anaehitaj anitafte kwa 0710607606 au 0657709995 nipo dar..... unaletewa popote ulipo.na kwa bei ya jumla pia yapo...karibun sana
Container tupu la futi 40 linahitajika, container liwe katika hali nzuri, full documents na pia liwe LINAPATIKANA NDANI YA JIJI LA MWANZA.
Mawasiliano: 0718 866 651 (call or whatsapp)..
Simu aina ya Sony z2 inauzwa kwa sh 250k (Laki mbili na nusu tu)sifa zake ni
Internal memory Gb 16
Camera mega px 20
Ram GB 3
Betri mAh 3200
Ina 4G
Camera ya mbele Mp 5
Inatumia memory card
Kuhusu...
Habari Wakuu,
Nahitaji ushauri wenu kuweza kupata taarifa kuhusu upatikanaji wa Ardhi ukubwa wa Hekta 500 kwa ajili ya kilimo cha mihogo. Target hasa ni Mikoa ya Pwani, Tanga, Mtwara, Lindi na...