Natafuta gitaa la kununua(galatoni)

Natafuta gitaa la kununua(galatoni)

funduku

Senior Member
Joined
May 2, 2013
Posts
131
Reaction score
36
Habar wana jf. Nahitaji gitaa la kununua ambalo halitumii umeme wapi naeza pata na bei yake ni kiasi gan?
 
Habar wana jf. Nahitaji gitaa la kununua ambalo halitumii umeme wapi naeza pata na bei yake ni kiasi gan?
Ya kichina K.koo jipya laki na 20, unaweza upgrade kwa kubadili string na kuweka za bei ya juu baada ya kununua. String ni kati ya tsh 25000 mpk 45000
 
Habar wana jf. Nahitaji gitaa la kununua ambalo halitumii umeme wapi naeza pata na bei yake ni kiasi gan?
Duh ukihitaji zinazo tumia umeme nicheki nnazo mpya n'a used Toka denmark ni za nyuzi tano!Nna guitar effect pia

Ova
 

Attachments

  • IMAG0785.jpg
    IMAG0785.jpg
    245.1 KB · Views: 78
Ya kichina K.koo jipya laki na 20, unaweza upgrade kwa kubadili string na kuweka za bei ya juu baada ya kununua. String ni kati ya tsh 25000 mpk 45000
Asante mkuu Kwa kunijuza
 
Back
Top Bottom