pamjela
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 383
- 708
Lenovo hiyo ya ukweli sana aisee nimeipenda sema wahindi hawalipi hadi tarehe 30 au 31Intel celeron N2840 2.16ghz
4gb ram DDR 3
500GB HDD
1.5gb graphics
5hrs battery
Problem touchpad ina wenge
Inatumia zaidi mouse ya nje
Ila ni nzima kila idala na inafanya kazi vizuru
View attachment 759379 View attachment 759383 View attachment 759385 View attachment 759379 View attachment 759386 View attachment 759390 View attachment 759392
Bei 320000/=
0777039477
Kanywee ilanziChukua 150
acha kashfa hii Ni biasharaKanywee ilanzi
Sijakuelewa ubovu wake ni nini au kuweka wazi kuwa touchpad inasumbu ndo uhisi ni mbovu touchpad inafanya kaziMkuu pc mbovu bado unataka hela hiyo
Nina 200000 nipm tuongee biashara.
samahani mkuu Kama nimekukwazaSijakuelewa ubovu wake ni nini au kuweka wazi kuwa touchpad inasumbu ndo uhisi ni mbovu touchpad inafanya kazi
ila wakati mwingne inagoma hivyo nikaweka angalizo ifahamike ili kama kuna atakayeridhika na kutumia na EXTNAL MOUSE sawa tutaongea bishara kama wewe hapo ulivyoridhika na condition yake ila kwa laki 2 hapana mkuu aoendi
Ila si kweli kuwa ni mbovu
Vipi bado iko sokoni?Pamoja mkuu wala hujanikwaza
nishaipiga tayari muda tu
si nimekutumia picha za dell mzee jana na ni kubwa kuliko hii core i5
hiyo dell pitia hapa Laptop Dell Core i5 inauzwa specs na details zote ila sio touch screen na wala keaboad burton hazina taaHiyo Dell specs zake zikoje???
RAM yake, Processor, Clock Speed na HDD.
Na nataka pia kujua kama ina touch screen na keyboard buttons zinawaka taa kwenye giza..
Pesa ipo, usiwe na hofu