Seneta Wa Mtwiz
JF-Expert Member
- Sep 23, 2013
- 3,601
- 4,087
Nauza printer zangu aina ya Epson Inkjet,
Kwa ajili ya matumizi ya stationery na ofisini.
Moja ni L220 na ingine ni L382.
Zinafanya kazi zote;
Printing, Copying, Scanning (Black & Colored).
Zinaprint na kutoa copies za rangi na nyeusi kwa logo, card na picha na documents mbalimbali.
---------
Hii L382 inahitaji maintance kidogo ya kusafisha nozzles.
Otherwise,
Zote zinafanya kazi kama kawaida.
Sababu ya kuziuza;
Nataka nipate hela ya kuongezea ili ninunue photocopier.
Bei,
L382 ni 290,00/=
L220 ni 270,00/=
Ni mali yangu halali,
Hakuna dalali.
Zipo Bagamoyo mjini,
Mawasiliano: 0786737923
Kwa ajili ya matumizi ya stationery na ofisini.
Moja ni L220 na ingine ni L382.
Zinafanya kazi zote;
Printing, Copying, Scanning (Black & Colored).
Zinaprint na kutoa copies za rangi na nyeusi kwa logo, card na picha na documents mbalimbali.
---------
Hii L382 inahitaji maintance kidogo ya kusafisha nozzles.
Otherwise,
Zote zinafanya kazi kama kawaida.
Sababu ya kuziuza;
Nataka nipate hela ya kuongezea ili ninunue photocopier.
Bei,
L382 ni 290,00/=
L220 ni 270,00/=
Ni mali yangu halali,
Hakuna dalali.
Zipo Bagamoyo mjini,
Mawasiliano: 0786737923