Kwa huduma ya kusafirisha magari kutoka bandari ya Dar es salaam kwenda nchi za maziwa makuu na SADC, COMESA. Dereva anapatikana 0675184877. Tumia SMS atakutafuta.
Salama humu.
Anahitajika business partner mwenye uwezo wa ku supply tani 30 za mahindi kila baada ya wiki mbili. Yawe mahindi yanayofaa kwa kukobolewa/sembe
Kiwanda cha sembe kiko Kigamboni na...
Ndugu zangu je nikampuni au shirika gani mnalifahamu limekuwa likijishughulisha na mfumo wa kukaisha mbona na matunda?naomba jina, technlogia wayaotumia. Haitakuwa vibaya ukitueleza kampuni...
Ndugu zangu wafanyabiashara wa Mwanza Neema imewatembelea
1.Pata ofa ya website kwa 199000 tu ikijumuisha domain na hosting nakwambia hutajutia.
2. Nafanya matangazo ya biashara kupitia social...
Wakuu habari za muda.
Nauza Kiwanja changu, Ada ya watoto kwenda kumalizia muhula imeanza tena kusumbua
Sifa za Kiwanja
-Kipo Chanika, Zogo Ali
-Kumejengeka
-Msingi imara WA nondo 12mm, NNE kila...
Wadau Mimi naitwa Keleni niko kasulu natafuta matajili watakao nipa tenda ya kununua mahindi sisi hapa kasulu mahindi ni mengi kwa bakuli la kilo moja na nusu tuna nunua shilingi 1000 naomba kazi...
Kama heading inavyosema, gari tajwa hapo juu inahitajika
Sifa
-Engine 3s
-Taa zake ziwe na bulb mbili kwa ndani/partition mbili
-Rangi ya silver, dark blue, blue, damu ya mzee au nyeusi
-Iwe...
Habari wana jamvi,
Natafuta chumba cha kupanga sehemu yoyote kwa Dar ambayo nitapanda gari moja tu kufika mjini pia huduma za maji ziwepo pamoja na umeme na kiwe chumba kizuri na isiwe nyumba...
Naishi nchini Canada nilikua najenga bongo, kutokana na mafundi wengi hapo bongo wamekua wababaishaji, wezi wa vifaa na uchakachuaji niliamua kumtoa fundi kutoka Moshi.
Mafundi kutoka Moshi...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
Katika harakati za kujiinua kimaisha, watu wengi wajikita katika uzalishaji wa sembe na dona kwa matumizi ya binadamu kama chakula. Lakini kama inavyojulikana katika biashara package matters...
Napatikana kwa simu namba 0654352424 nipo Dar es salaam unaruhusiwa kukagua ni original kabisa zimetoka Dubai ni orginal
kwa alie na interests nazo anitafute kwa kuzikagua
Habari zenu wakuu
Poleni na majukumu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.
Tunauza...
Nissan Note namba D, haina tatizo lolote
1300cc,
Millages 170,000Km
Ya mwaka 2005.
Bei 6.7M, mazungumzo ni madogo sana.
Njoo PM kwa mazungumzo
Ipo Mwanza,
Unaikagua mwenyewe au njoo na fundi...