Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kwa huduma ya kusafirisha magari kutoka bandari ya Dar es salaam kwenda nchi za maziwa makuu na SADC, COMESA. Dereva anapatikana 0675184877. Tumia SMS atakutafuta.
0 Reactions
0 Replies
44K Views
Salama humu. Anahitajika business partner mwenye uwezo wa ku supply tani 30 za mahindi kila baada ya wiki mbili. Yawe mahindi yanayofaa kwa kukobolewa/sembe Kiwanda cha sembe kiko Kigamboni na...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu zangu je nikampuni au shirika gani mnalifahamu limekuwa likijishughulisha na mfumo wa kukaisha mbona na matunda?naomba jina, technlogia wayaotumia. Haitakuwa vibaya ukitueleza kampuni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu wafanyabiashara wa Mwanza Neema imewatembelea 1.Pata ofa ya website kwa 199000 tu ikijumuisha domain na hosting nakwambia hutajutia. 2. Nafanya matangazo ya biashara kupitia social...
0 Reactions
2 Replies
599 Views
Wakuu habari za muda. Nauza Kiwanja changu, Ada ya watoto kwenda kumalizia muhula imeanza tena kusumbua Sifa za Kiwanja -Kipo Chanika, Zogo Ali -Kumejengeka -Msingi imara WA nondo 12mm, NNE kila...
3 Reactions
75 Replies
8K Views
Wadau Mimi naitwa Keleni niko kasulu natafuta matajili watakao nipa tenda ya kununua mahindi sisi hapa kasulu mahindi ni mengi kwa bakuli la kilo moja na nusu tuna nunua shilingi 1000 naomba kazi...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kama heading inavyosema, gari tajwa hapo juu inahitajika Sifa -Engine 3s -Taa zake ziwe na bulb mbili kwa ndani/partition mbili -Rangi ya silver, dark blue, blue, damu ya mzee au nyeusi -Iwe...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Habari wana jamvi, Natafuta chumba cha kupanga sehemu yoyote kwa Dar ambayo nitapanda gari moja tu kufika mjini pia huduma za maji ziwepo pamoja na umeme na kiwe chumba kizuri na isiwe nyumba...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Naishi nchini Canada nilikua najenga bongo, kutokana na mafundi wengi hapo bongo wamekua wababaishaji, wezi wa vifaa na uchakachuaji niliamua kumtoa fundi kutoka Moshi. Mafundi kutoka Moshi...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Kutoka dar to kilimanjaro kwa bei nafuu nasafirisha mzigo mkubwa Saiz ya mfuko wa debe sita.mzigo si mzito
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Katika harakati za kujiinua kimaisha, watu wengi wajikita katika uzalishaji wa sembe na dona kwa matumizi ya binadamu kama chakula. Lakini kama inavyojulikana katika biashara package matters...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Account ya adsense (non hosted) inauzwa 80k Tel 0625509473 "serious buyers only"
0 Reactions
12 Replies
2K Views
KWA MWENYE KUNISAIDIA HICHO KIOO TAFADHALI N PM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Napatikana kwa simu namba 0654352424 nipo Dar es salaam unaruhusiwa kukagua ni original kabisa zimetoka Dubai ni orginal kwa alie na interests nazo anitafute kwa kuzikagua
0 Reactions
35 Replies
4K Views
  • Closed
Habari zenu wakuu Poleni na majukumu. Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo. Tunauza...
15 Reactions
396 Replies
106K Views
Jipatie kwa bei poa mbao mninga location magomen
0 Reactions
3 Replies
3K Views
IST inahitajika namba kuanzia namba DK,DL,DM,DY na kuendelea gari iwe dar au mwanza mwenye mali aje call 0759212578
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Natafuta watoto wa paka. Kama unao, naomba. Kutoa ni moyo. Paka sio nyama. Naombeni jamani wafugaji
2 Reactions
35 Replies
4K Views
Nissan Note namba D, haina tatizo lolote 1300cc, Millages 170,000Km Ya mwaka 2005. Bei 6.7M, mazungumzo ni madogo sana. Njoo PM kwa mazungumzo Ipo Mwanza, Unaikagua mwenyewe au njoo na fundi...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…