jerryempire
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 5,875
- 10,199
Habari wana jamvi,
Natafuta chumba cha kupanga sehemu yoyote kwa Dar ambayo nitapanda gari moja tu kufika mjini pia huduma za maji ziwepo pamoja na umeme na kiwe chumba kizuri na isiwe nyumba iliyokwenye fujo au wapangaji wengi. Nitatoa hela ya mwezi mmoja tu kwa dalali na si vinginevyo.
Asanteni
Natafuta chumba cha kupanga sehemu yoyote kwa Dar ambayo nitapanda gari moja tu kufika mjini pia huduma za maji ziwepo pamoja na umeme na kiwe chumba kizuri na isiwe nyumba iliyokwenye fujo au wapangaji wengi. Nitatoa hela ya mwezi mmoja tu kwa dalali na si vinginevyo.
Asanteni