Habari wadau;
Napenda kuwatangazia kuwa kutakuwa na mafunzo maalum yatakayotolewa katika ofisi zetu zilizopo Dar es Salaam.Mafunzo haya pia yanapatika katika mfumo wa Private study ambapo...
COMPANY NAME: MUGETA FARMS
TRADEMARK/BRAND NAME: VICTORIA FINEST
KUHUSU BIASHARA:
Mugeta Farms co. ltd ni kampuni changa (startup company), kwa sasa inajihusisha na value addition ya dagaa...
Wakuu, Nina rafiki Yangu yupo USA Sasa ana mpango wa kununua chai kutoka Tanzania. Yeye pia Ni Mtanzania ila yupo
kule tangu akiwa mdogo. Kwa hyo kaniambia anataka kununua kutoka kwa wakulima wa...
Habari wadau natafuta pc 2 za kununua (HII NI KWA WALIOKO MWANZA TU)
Pc hiyo Iwe complete yaani Monitor, screen, keyboard, mouse na nyaya zake, Iwe na Ram 2 Gb na kendelea hard disk kuanzia gb...
Habari za muda huu wapendwa.
Napenda kuomba "request for quotation" ya vitenge vya kigoma, khanga, res materials, makenzi, n.k Kwa ambaye ni mfanyabiashara au anapenda kufanya biashara na anauwezo...
BlackBerry passport kwa ajili ya spare inauzwa..imeharibika connector za keyboard kwenye motherboard..ukiweka motherboard nyingine inafanya kazi vizuri tu mkanda wa keyboard bado mzima kabisa...
Habari wana JF mm ni mjasiliamali wa kuuza kuku wa kienyeji, natafuta wateja ambao wanauwezo wa kununua kwa jumla, Nina kuku zaidi ya 150 majogoo kwa mtetea, nipo Dsm kwa mawasiliano zaidi piga...
Habari wakuu,nina ndoto za kufanya ukulima na ufugaji kuwa ndio ndoto yangu ya maisha,changamoto kubwa ni wapi nitapata mafunzo ya ukulima na ufugaji kwa muda wa miezi,mwaka mmoja au miaka...
NAFASI ZA KUJIUNGA NA CHUO
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzanian Training Centre for International Health
(TTCIH) anawatangazia nafasi za kujiunga na chuo mwaka wa masomo 2018/2019.
TTCIH...
Habari wadau kwa wakazi wa Mwanza,
Kiwanja kinauzwa kuna nyumba ambayo haijaisha ambayo inahitaji tofali 800 kufunga lenta ina vyumba 3 pamoja na master bed room maji yapo karibu pamoja na umeme...
Used laptop inauzwa, imetumika miezi michache na ina tatizo kwenye kioo. Kioo kilipata hitilafu, kitu cha ncha kali kiligonga. Napatikana Dar, mawasiliano WhatsApp
Habari za Jioni;
Napenda kuchukua fursa hii kuwaalika watu wote wanaopenda kujifunza kutumia fursa zinazoletwa na tehama ili waweze kupata mafunzo maalum ya Ujasiriamali wa Kidijitali (Digital...
Habari wakuu,
Natafuta duka au mtu amabe anaweza kuniuzia hii dawa ya Snow foam kwa ajili ya kuoshea magari. Nilikuwa nanunua pale karcher lakini hawana tena na kila nkiwapigia simu wananambia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.