Nahitaji kupata mafunzo ya ukulima na ufugaji

Nahitaji kupata mafunzo ya ukulima na ufugaji

IZENGOB

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2014
Posts
323
Reaction score
317
Habari wakuu,nina ndoto za kufanya ukulima na ufugaji kuwa ndio ndoto yangu ya maisha,changamoto kubwa ni wapi nitapata mafunzo ya ukulima na ufugaji kwa muda wa miezi,mwaka mmoja au miaka 2.Shiida yangu ni kuiva kweli kwelikatika fani hii.Makazi yangu ni Dar es salaam Shamba ninalo hekari 3 na Kisima kirefu nilishachimba.
 
Mkuu wala usipate shida ya kuingia daraasani kwa kipindi chote hicho.

Kuhusu kilimo mbona kuna wataalamu wengi hasa hawa wenye maduka makubwa ya pembejeo pale kariakoo shimoni wanatoa elimu juu ya nini ufanye na nini usifanfe kutgemeana na aina ya zao.

Kuhusu ufugaji pia unaenda kwenye maduka makubwa yanayouza dawa za mifugo utapata elimu,baada ya muda uzoefu utakuimarisha.
Kila la kheri mkuu.
 
Mkuu unaweza pata elimu kubwa zaidi kwa kujisomea. Mtandaoni kuna video (tutorials), mafaili (pdf, docx & ppt) na pia kuna watu wanaandika tu just google. Hii njia imenisaidia sana ktk haya mambo ya ufugaji.
 
Kilimo tunajifunza kwa vitendo shambani.Kama uko poa njoo nikuajiri kama kibarua nina shamba eka 4 za nyanya na mboga.Kumwagilia kwa ndoo kila mche na maji unatoa kwenye mapipa ambayo yanajazwa n pump.Utakuta vijana wenzako wako wengi wanapiga kazi;sasa kachukue mafunzo y darasani wakupige pesa then ulalamike huna mtaji.Toka dar njoo vijijini kijana
 
asate mkuu
Mkuu wala usipate shida ya kuingia daraasani kwa kipindi chote hicho.

Kuhusu kilimo mbona kuna wataalamu wengi hasa hawa wenye maduka makubwa ya pembejeo pale kariakoo shimoni wanatoa elimu juu ya nini ufanye na nini usifanfe kutgemeana na aina ya zao.

Kuhusu ufugaji pia unaenda kwenye maduka makubwa yanayouza dawa za mifugo utapata elimu,baada ya muda uzoefu utakuimarisha.
Kila la kheri mkuu.
 
nina shamb
Kilimo tunajifunza kwa vitendo shambani.Kama uko poa njoo nikuajiri kama kibarua nina shamba eka 4 za nyanya na mboga.Kumwagilia kwa ndoo kila mche na maji unatoa kwenye mapipa ambayo yanajazwa n pump.Utakuta vijana wenzako wako wengi wanapiga kazi;sasa kachukue mafunzo y darasani wakupige pesa then ulalamike huna mtaji.Toka dar njoo vijijini kijana
shamba tayari mkuu
 
Kama shamba unalo kaanze kulima acha porojo.Utajifunza kwa wakulima wenzako baada ya muda utakuwa poa,Mimi niliingia front na sijasomea kilimo.
asante kaka nimeshachukua hatua nimelima bamia na nyanya
 
Back
Top Bottom