Mayala B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 1,450
- 3,379
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Ndugu zangu naomba kusamehewa sana juu ya ndugu zetu waliojiua ambao mimi nilikuwa nawakejeli sana na kuwaona kama wajinga.
Kumbe walikuwa wako sahihi kabisa.
Kuna mambo magumu sana ambayo wanadamu tunapitia mpaka unabaki unashangaa hakuna hata msaada kutoka popote pale ambao unaweza pata.
Toka unazaliwa unaishi kwenye shida mpaka unakua na mpaka kifo kinakuchukua kwa shida.
Roho yangu inaniuma sana.
Nami naweza tangulia muda wowote.
Nitawaletea kinachoendelea
Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu naomba kusamehewa sana juu ya ndugu zetu waliojiua ambao mimi nilikuwa nawakejeli sana na kuwaona kama wajinga.
Kumbe walikuwa wako sahihi kabisa.
Kuna mambo magumu sana ambayo wanadamu tunapitia mpaka unabaki unashangaa hakuna hata msaada kutoka popote pale ambao unaweza pata.
Toka unazaliwa unaishi kwenye shida mpaka unakua na mpaka kifo kinakuchukua kwa shida.
Roho yangu inaniuma sana.
Nami naweza tangulia muda wowote.
Nitawaletea kinachoendelea
Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app