RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

Mbalamwezi1

JF-Expert Member
Dec 20, 2013
2,071
2,010
Katika tukio la kifo lililotokea majuzi kule Arusha likimuhusisha mwanamke(marehemu)na askari wa JWTZ. Wakati RPC wa Arusha anaongea na waandishi wa habari alitoa kauli ambayo alisema kuwa ktk vyeo vya JWTZ anayemzidi kwa cheo ni Brigedia Jenerali kwenda juu!! Najiuliza ulinganifu huu amezingatia vigezo/muongozo upi?! RPC yeye ni Assistant Commissioner of Police(ACP). Wajuzi wa haya mambo ya vyeo naomba ufafanuzi plz.
 
Haitusaidii kitu na huo ulinganishaji vyeo, mmeua wajibikeni. Nyie mko juu ya sheria hadi mchukue vitu minor kama hivyo ndo mvifanye mjadala wa kitaifa?

Wakati mwingine JW mnakosa utu na kudhani maisha ya mtu ni ya kuchezea kiasi hicho? Mwenzenu kaua wajibikeni.
 
Katika tukio la kifo lililotokea majuzi kule Arusha likimuhusisha mwanamke(marehemu)na askari wa JWTZ. Wakati RPC wa Arusha anaongea na waandishi wa habari alitoa kauli ambayo alisema kuwa ktk vyeo vya JWTZ anayemzidi kwa cheo ni Brigedia Jenerali kwenda juu!! Najiuliza ulinganifu huu amezingatia vigezo/muongozo upi?! RPC yeye ni Assistant Commissioner of Police(ACP). Wajuzi wa haya mambo ya vyeo naomba ufafanuzi plz.
Kiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.

Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.

Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.

Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.

Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
 
Kiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.

Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.

Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.

Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.

Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
Sawa mkuu
 
Haitusaidii kitu na huo ulinganishaji vyeo, mmeua wajibikeni. Nyie mko juu ya sheria hadi mchukue vitu minor kama hivyo ndo mvifanye mjadala wa kitaifa? Wakati mwingine JW mnakosa utu na kudhani maisha ya mtu ni ya kuchezea kiasi hicho? Mwenzenu kaua wajibikeni.
Mwanajeshi kuua ni suala la mtu binafsi halihusiani na kulichafua jeshi zima kama unavyotaka kuaminisha watu.

Utovu wa utu na unyama hauegemei kada ya mtu ni sawa na kuongelea mchawi.

Unapokaa nyuma ya keyboard usijisahau sana na kuanza kupakaza chuki zako binafsi kwa taasisi zenye kuheshimika na taifa.

Raia yeyote wa Tz akiwemo mwanajeshi, akitenda jinai atawajibika kwa makosa yake mwenyewe binafsi na si taasisi nzima.

Hapa mada imeanzishwa kupima ulinganifu wa vyeo, badala yake wewe unaigeuza na kuipeleka kwenye mauaji na chuki zako, what for?
 
Wote ni waongo, majukumu ya Jw kwa wananchi ni tofauti na majukumu ya polisi kwa wananchi, hata vyeo vyao havina uhusiano wowote, isipokuwa ni mvutano wa kibabe tu unaotokana na vyeo vya Kamisheni/apishwa na rais
Bora ungekaa kimya kuliko, kujiona unajua, Hujui itifaki ya vyombo vya ulinzi vinapokutana pamoja.
 
Kiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.

Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.

Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.

Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.

Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
Bora ungekaa kimya kuliko, kujiona unajua, Hujui itifaki ya vyombo vya ulinzi vinapokutana pamoja.
Soma hapo juu
 
Kiitifaki ya kupigiwa saluti,Commisioned officer (CP) wa polisi ni sawa na commisioned officer (2lt wa nyota moja) wa Jwtz.

Chini ya Commisioned rank, vyeo hivyo huitwa other ranks.

Kwa hiyo kwa cheo chake cha ACP ukilinganisha na Jwtz ni cheo cha pili kurudi chini ya commisioned officer ambacho ni Warrant officer class2 na hata mishahara ukiichunguza inalingana.

Asijikweze, sababu hata vita vikizuka, akishikizwa jeshini, lazima atapewa mafunzo (refresher) wakufunzi wakiwa ni hao other ranks na atakasimiwa na kuvishwa vyeo vya other ranks na hilo halina ubishi ni kanuni.

Halafu tukija kwenye sheria za kijeshi (military defence act) hao civilian police ni idara za kiraia zinazofanya kazi zinazofanana na za kijeshi, wakiwemo magereza na zimamoto.
Hivyo Jwtz hawaruhusiwi kumkamata raia na kumuweka rumande za jeshi akiwemo yeye, kwa sababu anahesabika kuwa ni raia kwenye vitabu vya sheria za majeshi.
Well said.
Polisi hawaelewi nafasi ya Idara yao ya Polisi ni ipi!
 
Kila Siku Mnaona Parade Ikulu
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Ndiye Pekee Amepewa Mamlaka Na Katiba Ya Tanzania Kumpa Commission Afisa Wa Jeshi Wa Nyota Moja

Unafikiri Utaratibu Wa Police Upo Hivyo, Tazama Uhamiaji Mtu Anapewa Cheo Amekaa Ofisini
Usilinganishe Mambo Usiyoyajua Aidha Kwa Kuwa Labda Kwa Maslahi
 
JWTZ ____polisi
Lt usu = assistance inspector
LT. = inspector
Captain =ASP
MEJA =SP
LT. COLONEL =SSP
COLONEL =ACP
BRIGEDIA GENERAL. =SACAP
MEJA GENERAL. =DCP
LT GENERAL =CP
GENERAL. =IGP

Note: wakikutana afisa wa jwtz na afisa wa polisi wanao lingana vyeo, afisa wa polisi atampigia saluti afisa wa jwtz kwa sababu JWTZ ndio jeshi SNR. But wakikutana mmoja anamzidi mwingine cheo, protoco za kijeshi lazima zifuatwe mdogo kumsalimia mkubwa.
 
Back
Top Bottom