Hee......fegi tena za mia mia....Habari ndg, jamaa na marafiki, nitakuwa Rayns kwa humu, naombeni mnipokee kama member mwenzenu, nitafurahi mkinielekeza pia namna ya kuishi humu, kuna watu pia na wafahamu kwa taswira ya kufikiria na majina wanayotumia
nawasilisha.
ㄏRayn Raynsㄏ
View attachment 2702424