Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Hello JF
Hellow karibu sana Jf
Hello Pretahello
Jamani am New in JF sijui naanza hivi? au wanajF watanipokea??
hujakosea mpendwa ndo hivi kabisa...karibu sana
mfalme wa wafalme karibu sana!!ningependa kuwa mtumishi wako your majesty!!
feel at home your majesty..
mfalme wa wafalme karibu sana!!ningependa kuwa mtumishi wako your majesty!!
feel at home your majesty..
kweli bwana,thanx for corection,hata mie nilistukia nimekosea nashukuru king mwenyewe amenistahi kwa kukosea jina lake.umekosea kidogo dadaa,
huyu ni king of king, siyo king of kings
jina hili linaendana kabisa na mimi your majety..sbb mie nimezaliwa afrika,ni binti afrika ambaye kila nikijitazama nasema sifa na utukufu apewe mungu aliyependa niwe muafrika,naona fahari kuwa mmoja wa mabinti wa kiafrika na kwa kuuheshimu uafrika alionipa mungu situmii dawa yeyote kubadili nywele,wala rangi yangu ili nifanane na britney spears.Asante sana cheusimangala!!! daa jina lako cjui kama linaendana na ulivyo
Karibu mfalme wa mfalme. Nadhani KING of KINGS ingekuwa safi zaidi ila sikuchagulii jina. Best hiyo Avatar nimeipenda!Hello JF
umekosea kidogo dadaa,
huyu ni king of king, siyo king of kings
karibu sana keybody yako unaiona kweli anyway ukihitaji msaada tutakusaidia !
umekula munyu nyingi sana Kingi
jina hili linaendana kabisa na mimi your majety..sbb mie nimezaliwa afrika,ni binti afrika ambaye kila nikijitazama nasema sifa na utukufu apewe mungu aliyependa niwe muafrika,naona fahari kuwa mmoja wa mabinti wa kiafrika na kwa kuuheshimu uafrika alionipa mungu situmii dawa yeyote kubadili nywele,wala rangi yangu ili nifanane na britney spears.
ndio maana mie ni cheusimangala=bintiafrika.
nadhani nimejibu vyema swali lako your majesty.
Karibu Mkuu wa Wakuu...Jisikie uko nyumbani....
Karibu mfalme wa mfalme. Nadhani KING of KINGS ingekuwa safi zaidi ila sikuchagulii jina. Best hiyo Avatar nimeipenda!
new na avatar tayari na ... tayari; kweli hii ajabu!!Jamani am New in JF sijui naanza hivi? au wanajF watanipokea??