Karibu sana jamvini, pata kinywaji unachopendelea katika ile friji ya kwenye kona. Hiyo appartment ya opposite na ya kwangu ni fully furnished na ni nzuri sana hivyo ichungulie muda wako ukikuruhusu kama ukiipenda basi tutakuwa majirani lakini jirani mimi kwa kupiga mabomu ya kuomba chumvi, sukari au majani ya chai ndiyo mwenyewe . Nakuomba kama ukiamua kuwa jirani yangu usinichoke kwa mabomu yangu hahahahahah Karibu sana Mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.