napenda kuwasalimia ndugu zangu ,kwa muda mrefu nimekuwa nikisoma kwenye mtandao bila ya kuwa mwanachama ,nimevutiwa sana ni michango ya wanachama wa jamii forum ,imenisaidia nifahamu vitu vingi...
Kwa siku nyingi nimekuwa nikifuatilia JamiiForums topics kama mgeni leo nimejiunga rasimi na JamiiForums community.
Kwa kweli community hii inasaidia sana kutupa ukweli wa mambo hasa kwa mimi...
WANAJF SAMAMU SANA!!
Nimekuwa msomaji mzuri wa threads Mbalimbali ambazo kwa kweli zimenipa hamasa sana kujiunga na Jamvini na kwa kweli nimejiunga ninachotegema zaidi ni ushirikiano ambao...
Wiki mbili magazeti yaliandika dawa ya ukimwi imepatikana .katika blog mbalimbali zilikanusha na mpaka sasa cjackia tena na kulikuwa na ubishani mkubwa mtaani je ni kweli dawa hiyo imegundulika...
Hi naomba niulize ,
je wasomi wa hapa tanzania wanatumia elimu yao ipasavyo katika kuleta maendeleo ya nchi yetu?kama wanatumia ni kwanini katika secta nyingine kama vile wahandisi wengi wao ni...
Wasalaam magreat thinkers! Naomba mnikaribishe kwa mikono yote miwili na kwa moyo safi ili tuchangie mawazo katika jukwaa hili la siasa. Naomba nijue miiko ya humu ili nisije nikaivunja na...
habari zenu wana jamiiforum? Nimeamua kuja huku kwa ma great thinkers baada ya kutapa tapa kwa muda mrefu kwenye mitandao mingine ya kijamii ambayo imetawaliwa na majungu,mapenzi kabla ya wakati...