Habari zenu wanajukwaa..,Mimi naomba kujulishwa ni Spray gani itanifanya ninukie vizuri yaani ki (Gentleman) ya Bei Rahisi kwanzia Buku5-10...??
NOTE:HALI YANGU YAKIPATO NI NDOGO NDIO MAANA...
Habarini waungwana humu ndani.
Ninaomba kujua zaidi kuhusu serum na matumizi yake. Je, hazina madhara? Na ipi ni serum nzuri kwa matumizi ya usoni tu?
Nataka nitafute serum kwa ajili ya usoni...
Nilipataga ajali nikaumia katika shavu langu la kushoto nikawa na kidonda baada ya kupona pakabaki kovu jeusi halitaki kuftika naomba kwa anaejua dawa anifahamishe tafadhari
Habarini wana JF.Naomba kujua sababu za kukatika kwa nywele na ni njia ipi au mafuta yapi inapaswa kutumia ili kuzuia kukatika kwa nywele na kusaidia nywele kuota vizuri?
Kuna nyumba niliingia hivi karibuni dah ilikuwa ina nukia harufu nzuri ajabu
Nimejikuta niko curious na nini hasa wanatumia hadi nyumba inanukia vile
Nilishindwa kuuliza sababu kilichonipeleka...
Habari wadau,
Mimi kiasili nina ngozi nyeupe lakini hivi karibuni ngozi yangu ya usoni imeanza kupotea hivi, imekuwa kama maji ya kunde hivi, wakati kwingine kote imebaki kuwa ngozi yangu...
Wanajamii naombeni mnifahamishe.Kunawanaume wanavaa pete Mkono wa kulia Utamwona amevaa Pete mbili Moja Ina dude jekundu kwa juu ha nyingine ina dude la Kijani.je ni ulembo au kunamaana nyingine...
Wadau.
Napenda Sana vazi la suti.
Nimeweka picha hapa chini kwani nimependezwa Sana na suti alovaa huyo Mdau.
Naomba jua.
1 Gharama za suti hiyo?
2. Je Ni ya kushona au ya Dukani?
3. Je rangi yake...
Najua huku kuna wanamitindo na jukwaa linapitiwa sana na watu wengi.
Hivyo basi naomba msaada wa rangi (colour of the year) maana ninashughuli hivi karibuni mchangiaji ukitupia na kapicha...
Bandugu nina wahi sana kuota ndevu na masharubu(timba) yaani nikinyoa hazipi siku tano yashajaa tena haswa haswa hizi timba ndiyo kero kabisa.
Nikisema nikae mwezi bila kunyoa unaweza sema...
Naomba kufahamu aina ya lotion, cream au mafuta yanayofaa kwa ajili ya kuondoa madoa mwilini na yasiyochubua yaani kuondoa rangi ya asili.
Pia naomba kufahamu kwa matumizi ya cream kama goldie...
Wana JF habarini?
Wajameni ni changamoto kila nikinyoa ndevu vipele huwa vinaniota sana hasa nikitumia wembe, nimeamua kununua mashine ya kunyolea ila bado vinaniota.
Kila nikimaliza kunyoa...
Samahani wadau napenda kufaham kuhusu hii huduma ya Waxing.
1. Inatolewaje na utolewa na akina nani?
2. Mfno ukifanya waxing ya kwapa au kule kwa bibi nywele/,vinyweleo uota baada ya muda gani...
Wadau naomba kuelekezwa lotion au cream yoyote nzuri ya kuondoa madoa na makovu mwilini hususani maeneo ya miguuni, magotini na mapajani.
Nawasilisha naomba kuelekezwa, ukiweka na bei sio vibaya
Salaam,
Shuka langu Jeupe lilipata bloodstain usiku, asubuhi nikaliloweka na sabuni ya Doffi, nikalifua jioni, Lakini madoa hayajatoka.
Je nawezaje kutoa hayo madoa..?
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.