Titia
Senior Member
- Jul 3, 2013
- 155
- 113
Habarini waungwana humu ndani.
Ninaomba kujua zaidi kuhusu serum na matumizi yake. Je, hazina madhara? Na ipi ni serum nzuri kwa matumizi ya usoni tu?
Nataka nitafute serum kwa ajili ya usoni tu, kupaka usiku, ili niwe na uso unaong'aa. Kwa sasa sina chunusi wala vipele ila kama uso wangu upo rafu hivi.
Asanteni.
Ninaomba kujua zaidi kuhusu serum na matumizi yake. Je, hazina madhara? Na ipi ni serum nzuri kwa matumizi ya usoni tu?
Nataka nitafute serum kwa ajili ya usoni tu, kupaka usiku, ili niwe na uso unaong'aa. Kwa sasa sina chunusi wala vipele ila kama uso wangu upo rafu hivi.
Asanteni.