ni vazi tu na pambo....!Wanajamii naombeni mnifahamishe.Kunawanaume wanavaa pete Mkono wa kulia Utamwona amevaa Pete mbili Moja Ina dude jekundu kwa juu ha nyingine ina dude la Kijani.je ni ulembo au kunamaana nyingine zaidi.
Duh!, umeenda mbali sana kama nimekuelewa ulichomaanisha. Topic shifted to mgegedo!zina uhusiano na imani fulani mfano pete za bahati, ulinzi, mvuto nk ila wengine wanavaa urembo tu.. mi navaa pete kwenye kidole cha chini ili kujua limitation napogegeda nisisogeze kizazi
Duuuuumawe yale shekhe, kazi yake kuvuta bahati!
Msismko wa aina gani bintimshomviMimi sijajua kwanini nikimuona mtu kavaa nikiiangalia tu mwili unasisimka tena wengi wao upenda silva
Ata sijui najisikia kushtuka na kusisimka mwiliMsismko wa aina gani bintimshomvi